Mambo!!

Mambo!!

No simjui ni nani huyo?
huyu jamaa ndio muhifadhi picha mkuu wa jf so ukiweka tu ya kwako anichukua anaweka kwenye archieves ya jf halafu ikifika siku ya birthday yako mwakan anaipost then watu wanakuwish
 
wewe unazijua server za jf zilipo hazitunz kwenye simu zinzwekwa kwenye server maalumu hukooo ulaya
Hahaaa ulaya ya bongo au??bas mwambie anitafute nimpe yangu na mim
 
Back
Top Bottom