Mkuu anahitaji hardcopy huyoSasa kama hukuona si kosa lako mwenyewe au hujasoma sheria za jf sheria namba 7 kipengele cha 6(a)
Ngoja nikublock(Me)
Kapicha kako kwanza mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] me sio mbishi!!
Koba na Fuko ni pacha.Fuko ndo nani?
Hakika wewe ni Koba aseeeHapo me ndo mbishi kwengine sibishagi[emoji3] [emoji3]
[emoji23]Kwanin?
Hivi yule sio pacha wako??Simfahamu huyo
Huyu wa TarangirePicha yake hii hapa kanitumia pm