mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
Baada ya droo ya hatua ya robo fainali ya michuono ya caf champions league kufanyika hapo jana, kumekuwa na hisia mchanganyiko kuhusiana na timu zilizokutanishwa kukabiliana na wawikilishi wawili kutoka ligi ya Tanzania bara, simba na Yanga sc.
Wakati mashabiki wa Simba sc wakionekana kufurahia kukutanishwa na timu bora ya karne" Al ahly kutoka Egypt" furaha yao inaukamilisha ule msemo wa kiswahili usemao "usilolijua ni sawa na usiku wa giza" , sababu wasicbokijua mbumbumbu efusii ni kuwa wameingia katika mdomo wa mamba wakati akiwa na njaa, hakuna namna wataondokana na kipigo cha mbwa koko toka kwa mafarao hawa, kwa sababu Al ahly iko ilivyo Leo sababu ya hatua kama hizi katika michuano hii mikubwa kabisa kwa ngazi ya vilabu barani afrika.
Kwa upande mwingine timu dume na ngumu kabisa kwa sasa kutoka ukanda wa Cecafa Yanga Afrika, itakutana na mabwanyenye wa kabumbu kutoka bondeni mwa Africa katika ardhi ya madiba, naam hawa si wengine bali ni masandawana Mamelod sundown ukipenda waite the Brazilians!. Baada ya droo kuonyesha miamba hii ya soka itakutana, imepelekea uwepo wa hofu miongoni mwa mashabiki wa Yanga afrika kuelekea mchezo huu, huku mashabiki pinzani wa Yanga Afrika na wachambuzi uchwara wakionekana kufurahia mchezo huu wakiwa na imani kuwa sasa Yanga sc inaenda kukomeshwaa
Hahaha, manake hapo kwanza nchekee!!,wasilolijua mashabiki wa Mbumbumbu efusii na wachambuzi uchwara ni kuwa Yanga sc ina ubora wa daraja la juu zaidi kiwanjani na ni aina ya timu ambayo kamwe mamelodi hawatoweza kuisahau katika maisha yao baada ya mchezo husika kutamatika kwa mechi zote mbili.
Niulize kwa nini? Naam sababu ni moja tu, Yanga sc ni aina ya timu ambayo mamelod sundown hapendi kucheza nazo, Yes, offensive style ya Yanga sc ni tishio kwa timu yoyote ile barana Africa, mamelod sundown huwa anashinda mbele ya waarabu sababu ya style ya timu za kiarabu kiuchezaji, wako tactical sana, hususani wakiwa away na hata wakiwa nyumbani kuna muda huwa wanajilinda, kitu kinachowapa sana advantage mamelod, na ndicho kitu hichohicho kinachowapa sana faida yanga sc, sababu tangu wakati wa nabi, Yanga sc imekuwa ikifungua timu hata ugenini, ni either upishane nao, au upaki basi, lakini jua tu yanga sc watakushambulia bila hofu wala heshima sababu anayo quality ya kufanya hivyo.
.
Sasa basi, katika mchezo huu sio Yanga sc atakaekwenda kukutana na kipimo sahihi la hasha, bali mamelod sundown ambae anajiita timu bora Afrika ndio anakwenda kukutana na kipimo sahihi katika mchezo huu, Anakwenda kujaribiwa na Timu isiyokuwa na hofu wala adabu, anakwenda kujaribia na watu wasiokuwa na chakupoteza, yet still dangerous, anakwenda kujaribiwa na timu iliyojaa quality za kimataifa kwa ngazi ya soka la Africa, nasema hakuna namna midfield ya mamelodi itaweza kumzima pacome zouzou, naam hakuna njia wataweza kumzuia aziz ki wala aucho na maxi wasi operate katika level ya kikatili pale estadio de Benjamin mkapa.
Mamelod amazoea kuogopwa na kupakiwa basi, na wakati si timu yenye historia ya kutosha barani Africa, mara ya kwanza walitwaa hili taji mwaka 2016, pia tangu wakati huo wamefika nusu fainali mbili tu, hawa ni wakawaida, pesa haichezi mpira na ukitaka kuamini hivyo, UAE pamoja na pesa zao zote lakini timu ya ya taifa ni kishundu. Mamelod wako overrated, na niwakati sahihi Africa kuijua Yanga sc ya eng. Hersi kama timu isiyokuwa na adabu wala heshima kupitia mabwanyenye hawa.
Kwa kifupi mamelod wameyakanyaga na tanuru watakalo pitishwa ndani ya dakika 180 za dsm na kule Pretoria zitawaachia kidondo cha milele. Niko nimekaa paleeeee
Wakati mashabiki wa Simba sc wakionekana kufurahia kukutanishwa na timu bora ya karne" Al ahly kutoka Egypt" furaha yao inaukamilisha ule msemo wa kiswahili usemao "usilolijua ni sawa na usiku wa giza" , sababu wasicbokijua mbumbumbu efusii ni kuwa wameingia katika mdomo wa mamba wakati akiwa na njaa, hakuna namna wataondokana na kipigo cha mbwa koko toka kwa mafarao hawa, kwa sababu Al ahly iko ilivyo Leo sababu ya hatua kama hizi katika michuano hii mikubwa kabisa kwa ngazi ya vilabu barani afrika.
Kwa upande mwingine timu dume na ngumu kabisa kwa sasa kutoka ukanda wa Cecafa Yanga Afrika, itakutana na mabwanyenye wa kabumbu kutoka bondeni mwa Africa katika ardhi ya madiba, naam hawa si wengine bali ni masandawana Mamelod sundown ukipenda waite the Brazilians!. Baada ya droo kuonyesha miamba hii ya soka itakutana, imepelekea uwepo wa hofu miongoni mwa mashabiki wa Yanga afrika kuelekea mchezo huu, huku mashabiki pinzani wa Yanga Afrika na wachambuzi uchwara wakionekana kufurahia mchezo huu wakiwa na imani kuwa sasa Yanga sc inaenda kukomeshwaa
Hahaha, manake hapo kwanza nchekee!!,wasilolijua mashabiki wa Mbumbumbu efusii na wachambuzi uchwara ni kuwa Yanga sc ina ubora wa daraja la juu zaidi kiwanjani na ni aina ya timu ambayo kamwe mamelodi hawatoweza kuisahau katika maisha yao baada ya mchezo husika kutamatika kwa mechi zote mbili.
Niulize kwa nini? Naam sababu ni moja tu, Yanga sc ni aina ya timu ambayo mamelod sundown hapendi kucheza nazo, Yes, offensive style ya Yanga sc ni tishio kwa timu yoyote ile barana Africa, mamelod sundown huwa anashinda mbele ya waarabu sababu ya style ya timu za kiarabu kiuchezaji, wako tactical sana, hususani wakiwa away na hata wakiwa nyumbani kuna muda huwa wanajilinda, kitu kinachowapa sana advantage mamelod, na ndicho kitu hichohicho kinachowapa sana faida yanga sc, sababu tangu wakati wa nabi, Yanga sc imekuwa ikifungua timu hata ugenini, ni either upishane nao, au upaki basi, lakini jua tu yanga sc watakushambulia bila hofu wala heshima sababu anayo quality ya kufanya hivyo.
.
Sasa basi, katika mchezo huu sio Yanga sc atakaekwenda kukutana na kipimo sahihi la hasha, bali mamelod sundown ambae anajiita timu bora Afrika ndio anakwenda kukutana na kipimo sahihi katika mchezo huu, Anakwenda kujaribiwa na Timu isiyokuwa na hofu wala adabu, anakwenda kujaribia na watu wasiokuwa na chakupoteza, yet still dangerous, anakwenda kujaribiwa na timu iliyojaa quality za kimataifa kwa ngazi ya soka la Africa, nasema hakuna namna midfield ya mamelodi itaweza kumzima pacome zouzou, naam hakuna njia wataweza kumzuia aziz ki wala aucho na maxi wasi operate katika level ya kikatili pale estadio de Benjamin mkapa.
Mamelod amazoea kuogopwa na kupakiwa basi, na wakati si timu yenye historia ya kutosha barani Africa, mara ya kwanza walitwaa hili taji mwaka 2016, pia tangu wakati huo wamefika nusu fainali mbili tu, hawa ni wakawaida, pesa haichezi mpira na ukitaka kuamini hivyo, UAE pamoja na pesa zao zote lakini timu ya ya taifa ni kishundu. Mamelod wako overrated, na niwakati sahihi Africa kuijua Yanga sc ya eng. Hersi kama timu isiyokuwa na adabu wala heshima kupitia mabwanyenye hawa.
Kwa kifupi mamelod wameyakanyaga na tanuru watakalo pitishwa ndani ya dakika 180 za dsm na kule Pretoria zitawaachia kidondo cha milele. Niko nimekaa paleeeee