Mamelod wasipokuja kwa adabu kwa mkapa watakula tano na game itaishia hapo

Mamelod wasipokuja kwa adabu kwa mkapa watakula tano na game itaishia hapo

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Naandika nikiwa na akili timamu wala sijawahi kuwaogopa mamelodi kukutana na yanga bali niliogopa sana kama asec angekutana na yanga wengi mtaniona mjinga lakini mtaelewa baadae.

Timu zote CAF hucheza kwa mtindo wa kupaki bus isipokuwa mamelod, hata mfumo wao ni 3:4;3 yaani mfumo wa kushambulia na kukabia kati kati.

Yanga ukicheza mpira wa kufunguka huwa inautaratibu wa kustukiza kwa kasi na kukufunga na ukichanganyikiwa zaidi ukaona liwalo na liwe unaingia kwenye mfumo unakula mkono.

Ndio maana Al Ahly siku zote hua anafunga magoli machache ila anasonga mbele sababu hucheza kwa adabu ndio maana game ya mwisho alimfunga yanga na Yanga hakupata goli kule Cairo.

Hawa mamelodi ni wepesi kama pamba kwa yanga. msije kusema sikuwaambia.
 
Inafikirisha hii kauli yako👇👇

hawa mamelodi ni wepesi kama pamba kwa yanga. msije kusema sikuwaambia
 
Mamelodi anasifiwa sana.

Ukiuliza lini amewai kutwaa klabu bingwa africa?

Unajibiwa miaka 8 iliyopita

Ukiuliza amewai kubeba kombe la ligi ya mabingwa mara ngapi ?

Unajibiwa mara 1 tu toka timu imeanzishwa miaka 50 iliyopita

Hapo ndipo unagundua mamelodi ni timu ya kawaida sawa na As vita iliyochangamka haipishani sana na timu zetu za bongo. Ila inakuzwa sana
 
Mamelodi sio JKT Tanzania.

Mkishinda hata mechi ya kwa Mkapa nitaamini wale “Aliens” wapo na mnawafuga kweli
mkuu nakuhakikishia hiyo siku utakuwa suprised wengi wanamihemuko hawapimi kiufundi mbona mazembe alimtwanga tena mchana kweupe ile game uliangalia? Vipi second leg uliangalia? Ni kwamba walikuwa wapigwe pale pale south ndio maana wydad hii iliyoporomoka kiwango ilimtoa jasho first leg ila kule south walipofunga mbili ikabidi waanze kupoteza muda kwa kisingizio cha kulipa kisasi faulo tu kuipiga wakatumia dakika 5 kati ya zile 7 za nyongeza ndo wakabeba ndoo ila wydad ilibaki kidogo tu kule AFL wamtibulie mamelod na wydad huyo huyo ndiye aliyeishia makundi msimu huu.
 
Naandika nikiwa na akili timamu wala sijawahi kuwaogopa mamelodi kukutana na yanga bali niliogopa sana kama asec angekutana na yanga wengi mtaniona mjinga lakini mtaelewa baadae.

Timu zote CAF hucheza kwa mtindo wa kupaki bus isipokuwa mamelod, hata mfumo wao ni 3:4;3 yaani mfumo wa kushambulia na kukabia kati kati.

Yanga ukicheza mpira wa kufunguka huwa inautaratibu wa kustukiza kwa kasi na kukufunga na ukichanganyikiwa zaidi ukaona liwalo na liwe unaingia kwenye mfumo unakula mkono.

Ndio maana Al Ahly siku zote hua anafunga magoli machache ila anasonga mbele sababu hucheza kwa adabu ndio maana game ya mwisho alimfunga yanga na Yanga hakupata goli kule Cairo.

Hawa mamelodi ni wepesi kama pamba kwa yanga. msije kusema sikuwaambia.
nimecheka sana hapo kwenye liwalo na liwe...ofcoz Yanga akishakupapasa bao 2 ukisema ngoja niende zaidi liwalo na liwe basi utakula kama boluzdad au zile za kolouizdad....VAVAVAVAYO
 
nimecheka sana hapo kwenye liwalo na liwe...ofcoz Yanga akishakupapasa bao 2 ukisema ngoja niende zaidi liwalo na liwe basi utakula kama boluzdad au zile za kolouizdad....VAVAVAVAYO
Aahaaaa
 
Mamelodi anasifiwa sana.

Ukiuliza lini amewai kutwaa klabu bingwa africa?

Unajibiwa miaka 8 iliyopita

Ukiuliza amewai kubeba kombe la ligi ya mabingwa mara ngapi ?

Unajibiwa mara 1 tu toka timu imeanzishwa miaka 50 iliyopita

Hapo ndipo unagundua mamelodi ni timu ya kawaida sawa na As vita iliyochangamka haipishani sana na timu zetu za bongo. Ila inakuzwa sana
Wakati inachukua hiyo mara 1, huko nyuma haikuchukua kwa miaka zaidi ya 40 kwahiyo ilikuwa ya kawaida ila ndo ikachukua ubingwa hiyo mara 1. Kwahiyo hata sasa inaweza kuwa ya kawaida ikachukua mara ya 2
 
Masandawane karibuni Tanzania....Yanga inawasubiriii karibuni tukipige kiputeee
 
Mamelodi anasifiwa sana.

Ukiuliza lini amewai kutwaa klabu bingwa africa?

Unajibiwa miaka 8 iliyopita

Ukiuliza amewai kubeba kombe la ligi ya mabingwa mara ngapi ?

Unajibiwa mara 1 tu toka timu imeanzishwa miaka 50 iliyopita

Hapo ndipo unagundua mamelodi ni timu ya kawaida sawa na As vita iliyochangamka haipishani sana na timu zetu za bongo. Ila inakuzwa sana
Hayo maswali uliyouliza waulize na utopolo de majini fc , Basi zote timu za kawaida tu.
 
Kama kigezo ni history basi Mamelody wameizidi Yanga,kama kigezo ni form basi Mamelody wameizidi Yanga,kama kigezo ni uwezo wa wachezaji basi Mamelody wameizidi Yanga,na kama kigezo ni pesa basi Mamelody wameizidi Yanga.
 
Back
Top Bottom