Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Fainali ni Yanga vs Al ahly
Fainali ya kitu ganiFainali ni Yanga vs Al ahly
ni mtazamo wako ni ninauheshimu kama ninavyowaheshimu wale wanaoona kuwa ng'ombe ndie Mungu.Fainali ni Yanga vs Al ahly
Inawezekana shida ni device yako imepitwa na wakati ama huna bando la kutosha.mimi kila nikiupload picha zinakataa sijui shida ni nini.
Hawana mashabiki? Kila ninapoangalia mechi zao naona ziko tupu tuJina kamili: Mamelodi Sundowns Football Club
Nicknames: Masandawana /The Brazilians.
Nchi: Afrika Kusini.
Ngazi ya ligi: Ligi kuu ya Afrika kusini (PSL/DstvPremiership)
Kuanzishwa: 1970
Mmiliki: Patrice Motsepe.
Mwenyekiti: Tlhopie Motsepe.
Mkufunzi: Rhulani Mokwena.
Nahodha: Themba Zwane.
Uwanja: Loftus Versfeld Studium unaochukua watazamaji 51,762.
Mataji: Ligi kuu (PSL/Dstv premiership) 13, TotalEnergies CAF Champions League 1, CAF Super Cup 1, African Football League 1, Nedbank Cup 6, MTN8 4, Telkom charity Cup 5, Telkom Knockout 4.
MAMELODI SUNDOWNS THE SKY IS THE LIMIT.
Labda fainal ya kufuga majiniFainali ni Yanga vs Al ahly
Wenye akili wawili tu ile mechi ya Ihefu 2-1 pale Ubaruku Ilikuwa Ihefu FC vs Majini FC????MASHABIKI wa YANGA Bwana!!!!!!Mpaka sasa tunaongoza ligi tukiwa na alama 46 katika michezo 18. tukiwa tumeshinda michezo 14 sare 4 na kupoteza 0.