Utachukua mbinu Gani Kwa failureHaahaa mtawayawaya sana mwaka huu. Hii ni sawa na mtu wa facebook tuu anaefanya urafiki na mtu wa mbali tena hamfahamu na kumdharau jirani yake anaeishi nae mtaa mmoja. Utopolo ukitaka codes za kuchukua points kwa Ahly home and away usione aibu, toka hapo matopeni vuka barabara piga hodi msimbazi hapo omba msaada utasaidiwa, Jirani yako ndie nduguyo
Endelea na kibri chako. Kocha wako kila mechi ya simba anaenda kujifunza mbinu wewe kolonyani baki ivoivoUtachukua mbinu Gani Kwa failure
Unafikiri hilo zwazwa litakuelewa?Endelea na kibri chako. Kocha wako kila mechi ya simba anaenda kujifunza mbinu wewe kolonyani baki ivoivo
🤣🤣Unafikiri hilo zwazwa litakuelewa?
Kocha wake anahudhuria game za Simba ili kujifunza kitu au kubaini kitu, lenyewe linashupaza shingo ilhali haliwezi kufundisha mpira hata watoto wa kindergarten.
Ufuatwe kuombwa CODE wakati code hizo zimekutoa nje ya mashindano..!!!Haahaa mtawayawaya sana mwaka huu. Hii ni sawa na mtu wa facebook tuu anaefanya urafiki na mtu wa mbali tena hamfahamu na kumdharau jirani yake anaeishi nae mtaa mmoja. Utopolo ukitaka codes za kuchukua points kwa Ahly home and away usione aibu, toka hapo matopeni vuka barabara piga hodi msimbazi hapo omba msaada utasaidiwa, Jirani yako ndie nduguyo.
Gamondi amelijua hilo ndio mana alienda kuangalia mechi ya simba na ahly na baadae akaomba namba ya roba akapewa sasa hivi anashinda nyumbani kwa robatinyo
Kocha anapenda soka..anaenda .ku refreshUnafikiri hilo zwazwa litakuelewa?
Kocha wake anahudhuria game za Simba ili kujifunza kitu au kubaini kitu, lenyewe linashupaza shingo ilhali haliwezi kufundisha mpira hata watoto wa kindergarten.
Kila la heri, ila mpira unadundaAl ahly anapigika in and out
Ajifunze kutolewa kikanuni?Haahaa mtawayawaya sana mwaka huu. Hii ni sawa na mtu wa facebook tuu anaefanya urafiki na mtu wa mbali tena hamfahamu na kumdharau jirani yake anaeishi nae mtaa mmoja. Utopolo ukitaka codes za kuchukua points kwa Ahly home and away usione aibu, toka hapo matopeni vuka barabara piga hodi msimbazi hapo omba msaada utasaidiwa, Jirani yako ndie nduguyo.
Gamondi amelijua hilo ndio mana alienda kuangalia mechi ya simba na ahly na baadae akaomba namba ya roba akapewa sasa hivi anashinda nyumbani kwa robatinyo
Makolo watakufa nyingiYanga Ina wachezaji wa kuifanya kuwa Bora, nyuma ni 5 Yao, Diarra,Job, Baka na Nondo, katikati Mudathir na Aucho, mbele Pakome, Max, Ki. Ukiona Hawa wote wamo uwanjani moto wake ni WA gesi, weka mbali na watoto!
Kikosi kikiwa na hao jamaa waje Al Ahly watakaa, Makolokwinyo watakaa, Real Madrid inakaa, Brazil inakaa!! Hata ije Bayern Munich inakaa!
Jumapili kukiwa na jua itakuwa safi Sana kuwakanda makolo ambao watacheza kama wanafia uwanjani ila quality ya wachezaji wa Yanga itaamua mchezo! Simba itapigwa kama Ngoma!!
AaahaaaaAjifunze kutolewa kikanuni?