chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Itakua safi sana wakivaa uu uzi
Kweli hizi mada nyingine unaona kabisa mtu amekosa kazi ya kufanya ndiyo analazimisha kuanzisha thread. Hizo kanuni mbona zinafahammika kwa wote.Tafuta job ufanye
jezi yao ni Puma,na puma ni mnyama,sijui umeelewa?Itakua safi sana wakivaa uu uzi
Blue/YellowSiku ya jumamosi katika mtanange wa young Africans na mamelody ,je mamelody watavaa ule Uzi wao wa rangi ya njano na bukta ya bluu(Ubuntu bothu) au ule wa rangi nyeusi?
Nimeuliza hivi kwa sababu hata young Africans Wana uzi wa kijani/njano ambao kama watavaa wa njano utafanania na ule wa mamelody jambo ambalo litaleta utata kulingana na kanuni za caf.View attachment 2944335
Common sense is not common to some people.Hata common sense huna, ndo maana umeambiwa umekosa kazi
Nguvu Moja
ni wengi mkuu hawana kazi za kufanya sio huyu tuππKweli hizi mada nyingine unaona kabisa mtu amekosa kazi ya kufanya ndiyo analazimisha kuanzisha thread. Hizo kanuni mbona zinafahammika kwa wote.
njano sisi wananchi tutavaa nyeusiSiku ya jumamosi katika mtanange wa young Africans na mamelody ,je mamelody watavaa ule Uzi wao wa rangi ya njano na bukta ya bluu(Ubuntu bothu) au ule wa rangi nyeusi?
Nimeuliza hivi kwa sababu hata young Africans Wana uzi wa kijani/njano ambao kama watavaa wa njano utafanania na ule wa mamelody jambo ambalo litaleta utata kulingana na kanuni za caf.View attachment 2944335
Yaani hili nalo ni la kujiuliza? Hujui kuwa uzi wa njano na bluu ni home kit ya mamelod?Siku ya jumamosi katika mtanange wa young Africans na mamelody ,je mamelody watavaa ule Uzi wao wa rangi ya njano na bukta ya bluu(Ubuntu bothu) au ule wa rangi nyeusi?
Nimeuliza hivi kwa sababu hata young Africans Wana uzi wa kijani/njano ambao kama watavaa wa njano utafanania na ule wa mamelody jambo ambalo litaleta utata kulingana na kanuni za caf.View attachment 2944335
yeyote atakaye vaa njano lazima atapigwa za kutoshaSiku ya jumamosi katika mtanange wa young Africans na mamelody ,je mamelody watavaa ule Uzi wao wa rangi ya njano na bukta ya bluu(Ubuntu bothu) au ule wa rangi nyeusi?
Nimeuliza hivi kwa sababu hata young Africans Wana uzi wa kijani/njano ambao kama watavaa wa njano utafanania na ule wa mamelody jambo ambalo litaleta utata kulingana na kanuni za caf.View attachment 2944335
πππ Kuna watu wana maswali ya kipuuzi.Kweli hizi mada nyingine unaona kabisa mtu amekosa kazi ya kufanya ndiyo analazimisha kuanzisha thread. Hizo kanuni mbona zinafahammika kwa wote.