Mameneja Sallam, Babu tale, Fella, wamesusa wasanii wao wanabanana WCB

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
habari wadau..

nakumbuka babu tale ndie mwanzilishi na meneja wa tip top connection kina madee, keisha, tunda, dogo janja etc... naona amekimbia lebo yake anabanana WCB.

sallam nakumbuka ni meneja wa AY naona kamkimbia anabanana na WCB.

Mkubwa fella nakumbuka ni meneja wa Yamoto band, kina temba, chege etc naona nae amekimbia lebo yake anabanana WCB.

WCB patamu kuna safari za ulaya nyingi na Diamond ana hela ndefu wanyonyaji wote wameamua wakomae nae..

Ofisi ya WCB kila kitu ni gharama za Diamond.

recruitment ya wasanii WCB ni diamond yaani diamond akisema chochote mameneja wanasema Yess boss

Sio majungu wadau ni maoni tu..

kama hawa mameneja ni wazuri wanaupenda mziki wetu why wasiwamanage wasanii wao nao wawe kama diamond..

madee anapigia video posta barabarani siku ya jumapili maskini kuepuka msongamano.. meneja kakimbilia nyumba ndogo WCB.

Sallam, Babu tale na fella msikimbie nyumba zenu wasaniii wenu wanawahitaji muwakomboeeee...

Diamond ana familia inamtegemea sio kisa ameshatusua mkomae nae,,,, msimnyonyeeee sana
 
n

Ni tatizo kubwa kweli, na ni la KITAIFA...!
Ni shida kweli, pale AKILI NDOGO inapo ongoza VICHWA TIMAMU...

Ujumbe wameosoma, au wataambiwa na TEAM MONDI..
 
Ninavyoelewa mimi, msanii ndio bosi wa meneja
 
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, ingawaje Sallam na AY ni washikaji kitambo lakini ni majuzi tu hapa ndipo AY aliingia kuwa managed na Sallam! Binafsi, nilimshangaa AY kwa sababu sikutaraji kama angepata attention kubwa!!

Meneja Rasmi wa Diamond ni Babu Tale. Ni baada ya Diamond kuanza kuwa mkubwa zaidi ndipo Tale akaomba support ya Fella ili a-capitalize uzoefu wake.

Ni Diamond mwenyewe ndie alimtaka Sallam kwavile alitaka ku-capitalize connection za Sallam na insiders wa nje!!

Ushiriki wa Fella kwa WCB wala haujabadilika!!! Mtu pekee aliyeiacha kambi yake ya asili ni Babu Tale... aliyeiacha Tip Top baada ya kuona u-manager wake kwa Diamond mmoja ndio unaolipa zaidi kulinganisha na Tip Top wengi!!
 
Aisee hili nalo neno though ukiwa msanii mkubwa unakuwa na timu kubwa zaidi ili kukupunguzia majukumu na ndio maana dogo anabaki kazi yake kuimba na kukata viuno aka kuburudisha na kusoma akaunti haya mambo mengine anawaachia wao
 
Diamond akifulia hapo hutamuona hata mmoja, we jiulize mameneja wote watatu wanammeneji mtu mmoja wanameneji nini? Hao mameneja wajanjawajanja washapiga hesabu wameona kumanage Diamond mmoja wanapiga pesa ndefu kuliko kumanage wakina Temba 20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…