matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Pamoja na ushabiki wetu, tunakumbusha tu Iran kuna wayahudi wengi tu na wanaendelea Kula maisha bila bugdha yoyote.
Video ya kuvutia sana.
Wayahudi wa Iran mjini Tehran wakisherehekea kuhitimu kwa marabi wapya na wachinjaji nyama. Kulingana na CNN na Fox News wanakandamizwa
Ni hayo tu.