Mamilioni ya wakenya wahofia kukumbwa na janga la njaa

Magonjwa Mtambuka

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
32,246
Reaction score
31,176
Nzige, uhaba wa mvua na virusi vya corona ni mchanganyiko mbaya sana. Nyie wakenya acheni kuranda randa humu na kujisifia kila siku.

 
Alafu sionagi cha maana kushindana Tanzania x Kenya, unaweza kuta mtu ana mada nzuri ila anaanza utanzania, ukenya. Ni ujinga.

Kenya wakifa njaa Tanzania utafaidika nini? Afrika ni Moja.

Lazima tuache ubaguzi wa kutengena sisi kwa sisi, hatutaondoa ukoloni mambo leo kama tutakuwa wajinga wakubaguana na kushindana kwa ujinga Kenya vs Tanzania

Dumelang
 
Mkuu una akili sana,ndio maana tunadharaulika duniani sababu ya undezi kama huu wa kushangilia mwenzako anapopatwa majanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…