Mamlaka alopewa polisi

Mamlaka alopewa polisi

permist

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
650
Reaction score
408
Habari zenu? Leo napenda tukumbushane mambo muhimu kidogo ya kisheria kwa ajili ya utendaji wa kazi kitaalamu wa polisi.
1.k/f 19 CPA,CAP 20 1985 R:E 2002. Kinampa mamlaka askari polisi kumkamata mtuhumu yoyote aliyekimbilia ndani ya nyumba yoyote isipokuwa mahakamani,bungeni na ubalozini ampapo kuna taratibu nyingine.

2. K/f 20 CPA hiyohiyo inampa mamlaka askari polisi kufunja nyumba yoyote wakati akiwa anafanya kazi zake za kipolisi.

3.K/f 21 CPA Hiyohiyo inampa mamlaka polisi kutumia nguvu wakati wa ukamataji,nguvu hiyo ifanane na hali halisi.

4. K/f 25 CPA hiyohiyo inampa mamlaka polisi kusimamisha,kupekua na kushikilia chombo cha moto chochote kukiwa na sababu ya msingi.
 
Back
Top Bottom