Mamlaka Husika:"Fungieni Wanawake wenye Chura wote ila Waislam Tufunge kwa Amani..!

Mamlaka Husika:"Fungieni Wanawake wenye Chura wote ila Waislam Tufunge kwa Amani..!

Nyoka_mzee

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2016
Posts
3,695
Reaction score
5,531
Kitendo cha hawa wanawake Wenye chura kuendelea kuzagaa hasa katika kipindi hiki ,tunachoelekea kwenye mfungo mtukufu wa Ramadhani,wallah umekuwa ukituondolea utulivu,na Umakini hasa katika kipindi hiki cha kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani ,na najiuliza Sijui itakuweje na mitihaani hii hasa pale mfungo mtukufu utapowadia,.
Kitendo cha hawa chura kuendelea kuzagaa ni kuziweka swaumu zetu rehani ,aisee,
Nyie wanawake wa Daresalam, ambao mmekuwa hamvai pi****chu***mungu anawaona,
Na nimejitolea kuwanunulia wanawake wote msiokuwa na nguo za ndani katika kipindi hiki cha kuelekea mfungo mtukufu wa ramadhani,Ili mtupe Utulivu mpaka Ramadhani itapokwisha,na kama kisingizio joto,safari hii Dar hakuna joto ,mvua ya kutosha ,Nimeagiza mzigo mzima wa contena upo bandalini kwa ajili yenu,

Plz huu muda wa kutubia ,Tuacheni tupunguze zambi kwa kweli Sio mtuongee zambii,Mnatujengea mahusiano mabaya na Muumba na kitu ambacho sie hatutakiii

Hata sijui niende nikafungie wapi kuinusuru Roho yangu mie,maana najijuaga mwenyewe mitihani yote ntafaulu ila huu wa chura huwa na feli kila mara ,najikuta napata bashite kila nikijaribiwa[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
Unamaanisha baada ya mfungo Ni full kujiachia? Huu mfungo huwa siuelewi.
Wapunzishwe ili tufunge kwa salama watuache kutupa mitihaani kipindi hiki cha swaumu tutbie[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuhame Dar mzee [emoji4] [emoji4] [emoji4]


Tuhame Dar au na ww wale wale
 
Si mfungaji tuuu itakuaje ubabaishwe na hao vyura
 
Mkuu ukiweka matamanio pembeni mbona simple tu
wale wabarabani inakuweje hasa pale kariakoo watembea ukiangalia mbele hammad unakutana na chura na ukisema uwangalie chini utagongwa na gari[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Si mfungaji tuuu itakuaje ubabaishwe na hao vyura
Mkuu ni mitihaani hii hasa kwajiji hili la daru salam mzee ,zamani watu tulikuwa ukifika mwezi wa ramadhani mtu anaamuwa kwenda unguja au mombasa kufunga ramadhani ila miaka hii kila sehemu kumechafuka
 
Mkuu ni mitihaani hii hasa kwajiji hili la daru salam mzee ,zamani watu tulikuwa ukifika mwezi wa ramadhani mtu anaamuwa kwenda unguja au mombasa kufunga ramadhani ila miaka hii kila sehemu kumechafuka
Kwani hujazoea jamani cha ajabu nini acha utete wewe.......au huwezi kufunga unasingizia hao vyura
 
wale wabarabani inakuweje hasa pale kariakoo watembea ukiangalia mbele hammad unakutana na chura na ukisema uwangalie chini utagongwa na gari[emoji12] [emoji12] [emoji12]
ni mtihani lakini inabidi uweke nadhiri na unuie kabisa kwa Mola wako atakusikia na vishawishi vitaisha
 
amieni somalia, Syria, na ichi zote za kiarabu mkishindwa kabisa hata Zanzibar patawafaa
 
Kwani hujazoea jamani cha ajabu nini acha utete wewe.......au huwezi kufunga unasingizia hao vyura
Chura wa dar hawazoeleki maana kila siku wanakuja toleo jipya ww utakuwa wa mkoani[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Back
Top Bottom