mkuu povu la nini tena umeambiwa chitchat ,shida iko wapi[emoji12] [emoji12] [emoji12]Ina maana ww unafunga kws kulazimishwa au unafuata imani yako?kila dini ikitaka hivo patakalika hapa duniani?pambana na imani yako
acha tu mkuu aisee nyingi ziko mubasharaHivi kumbe chura za dar zinaonekana sana kutokana na kutovaa hizo za Ndani?
Ntajitahedi nihame dar niende koromoje kidogo mpaka mwezi uishe huuHayo ni majaribu tu mkuu unatakiwa uyashinde
Bora wabakie huko huko wasijewaharibu hawa wa huku makwetuacha tu mkuu aisee nyingi ziko mubashara
hahahahaBora wabakie huko huko wasijewaharibu hawa wa huku makwetu
Magumashi tuuUnamaanisha baada ya mfungo Ni full kujiachia? Huu mfungo huwa siuelewi.