Mamlaka husika hilo Jengo lililobomolewa mwaka 2014 hapo Makonde jirani na Shekinah Garden linaachwa ili lipendezeshe Jiji na Mbezi Beach au?

Mamlaka husika hilo Jengo lililobomolewa mwaka 2014 hapo Makonde jirani na Shekinah Garden linaachwa ili lipendezeshe Jiji na Mbezi Beach au?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Haiingii Akilini nililishuhudia likibomolewa mwaka 2014 cha Kushangaza hadi leo mwaka 2022 lipo vile vile na kama Mwenye Jengo kaamua Kulisusia au Mamlaka nayo imeamua Kulisusia.

Tafadhali Mamlaka husika ama mumwambie mwenye Jengo alijenge upya au kama sasa lipo chini ya Mamlaka basi liendelezwe kwani lilivyo sasa halipendezi Kimwonekano ukizingatia lipo jirani na Barabara Kubwa na Muhimu na pia lipo Jirani na Shekinah Garden Mbezi Beach ambayo Watu Wastaarabu, Wanaojitambua na Makini hupenda kwenda Kutumia kidogo zile Faida zao za Kifedha walizozipata kutoka katika Biashara, MisheMishe na Kazi zao Halali mbalimbali.

Mamlaka husika niwaibieni tu Siri kuwa hivi sasa hilo Jengo hapo limekuwa ndiyo Gesti / Loji Bubu kwa hao Madereva wa Teksi walio kwa mbele na Madereva Bodaboda na Bajaji huku Wahanga Wakuu wa Kutiwa ( Kulalwa ) humo ( hasa Nyakati za Usiku ) wakiwa ni Wanafunzi wa Secondary ( Upili ), Mama Lishe wa maeneo ya Jirani, Mabaa Medi wa Kumbi za Jirani na Wadada wa Kazi wa eneo hilo.

Na kama Mamlaka mtaamua kuanza Kulishughulikia hili ( hilo Jengo ) naomba muanze Ratiba yenu kuanzia Siku ya Alhamisi kwani hata Mimi pia kuanzia Leo Idi Mosi na Kesho Idi Pili kuna Watu Wawili nina Shughuli nao kwa kule Juu ( ambako Mbao zimeoza na Matofali yameweka Ufa ) na kama mkiamua kuja leo mtakuwa mmeniharibia Mipango yote kama vile ambavyo Majuzi Mshambuliaji Hatari sana Tanzania nzima wa Yanga SC Mayele aliharibiwa Mipango yote na Beki mwenye Akili Kubwa Tanzania nzima Henock Inonga Baka.
 
Hilo jengo kama sikosei kwanza kulikuwa na showroom ya furnitures baadae ikasemekana hilo jengo limejengwa kwenye hifadhi ya bomba kubwa la maji hivyo kubomolewa ila haieleweki japo kuna uwezekano wahusika bado wanahamgaika mahakamani ndio maana lipo hivyo
 
Weka picha kuonyesha msisitizo
Tafadhali naomba wale walio Jirani nalo walipige Picha waweke hapa au kama hamtojali mnivumilie nikiingia leo na kesho kwa Kazi yangu Maalum na Watu Wawili Walionichuna sana nikimaliza basi Alhamisi ( Keshokutwa ) nitatupia hapa Picha yake ( zake )
 
Hilo jengo kama sikosei kwanza kulikuwa na showroom ya furnitures baadae ikasemekana hilo jengo limejengwa kwenye hifadhi ya bomba kubwa la maji hivyo kubomolewa ila haieleweki japo kuna uwezekano wahusika bado wanahamgaika mahakamani ndio maana lipo hivyo
Hauko mbali tu na Ukweli nilioambiwa.
 
😂😂we kweli miyeyusho sema kweli lile jengo na marangi yake ndani mwaka wa 5 huu limevunjwa tu
 
Jengo limemomonyoka nimejilia mabinti wazuri niliowang’oa hapo EB twenty five, ila mzee unazingua sana kutuchomea utambi wazee wenzako
Binafsi nimetenda Dhambi nyingi kama zako hapo ( humo ) mpaka nikajichuna na Msumari wakati nikiwa katika harakati za Kumpinda Mtu vizuri ili Rungu lpenye lote kisawasawa na Maumivu nilikuja kuyasikia baada ya Kuushusha Mzigo wangu wa Kuni.
 
😂😂we kweli miyeyusho sema kweli lile jengo na marangi yake ndani mwaka wa 5 huu limevunjwa tu
Tokea mwaka 2014 hadi 2022 ni Miaka mitano hiyo? Marks zako za mwisho katika Somo la Hisabati zilikuwa ni ngapi?
 
Back
Top Bottom