Wewe ni mpuuzi.
Mchango kama huu unaongeza kitu gani kwenye mada husika?
NIC na hiyo Benki wanalingana kwa kila kitu? Na kwa kuwa NIC wanafukuza watu wengi, ndiyo iwe mfano kwa Benki na wao wafukuze watu wengi? Kufukuza watu kazi ndiyo kipimo cha ufanisi?