BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Tatizo la bongo huwezi andikq mada Kwa niaba ya mtu maana wanafanya conclusion ni wwWahi hospital upate msaada wa tiba
Wahi upate tiba muhimbili au amana usiogope wahi tibaTatizo la bongo huwezi andikq mada Kwa niaba ya mtu maana wanafanya conclusion ni ww
Mwandikaji cjui shida nn
Kwaajili ya watu wenye mawazo vinyu kama ww nitafuta huu Uzi..mana unaweza andika jambo kuwakilisha Jamii inayo kuzunguka ila mishale itakujia ww ..uliye present ...Wahi upate tiba muhimbili au amana usiogope wahi tiba
Sema hawaskii hii mada hainihusu ila kwaajili ya kuokoa Jamii ..nimeileta baada ya kuskia huo ushuhuda ila wajinga wanatupa mawe Kwa mjumbe badala ya kupokea ujumbe kama ulivyo letwa.Acha wajinga waendelee kufa maana Janabi Kila siku anawaambia acheni kula hayo matakataka hamsikii
Wewe ndo unakoleza kwa kujibu.Sema hawaskii hii mada hainihusu ila kwaajili ya kuokoa Jamii ..nimeileta baada ya kuskia huo ushuhuda ila wajinga wanatupa mawe Kwa mjumbe badala ya kupokea ujumbe kama ulivyo letwa.
Energy inaanzia mdomoni alafu tumboni.Sema ni wewe mwenyewe,na hapa upo kutafuta bwana ,umeanzisha hii thread ili upate b.asha
Hahahaa! Thinking...πEnergy inaanzia mdomoni alafu tumboni.
Yeye kote huko hajawashwa ikaenda kuamsha kenyeo chake π€
Una uhakika unaweza kuufuta uzi?Kwaajili ya watu wenye mawazo vinyu kama ww nitafuta huu Uzi..mana unaweza andika jambo kuwakilisha Jamii inayo kuzunguka ila mishale itakujia ww ..uliye present ...
Mimi niliambatanisha pia na iliyokuwa ya Zamani Tfda ila mod wakafupisha hivyo wao ndio waongeze manla inayohusu chakula kwenye titleTMDA sio mamlaka inayosimamia chakula