Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Watu tuna njaa kali ya kodi,halafu Kenya wanaleta mzaha.Watamjua Magu haki ya nani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]hahajaja yalikuwa yanaenda Kenya kwa usafiri gani?
je? ni lini watatuma wataalamu kuyakwamua mawingu haya (mwandishi ilitakiwa ahoji)
sema kiswahili kinazingua itakuwa alikuwa na maana kwamba mawingu ya kuleta mvua yameishia Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna haja ya kutumia busara wakati tuna njaa ya fedha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Tusubiri kulipa mabilioni kwa kukiuka mkataba na Kenya.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kenya kufungua kesi mahakama ya EA kulazimisha Tanzania kuachia mawingu ya mvua yanayozuiliwa Tanzania.
HahahahahahaWalipie kodi,la sivyo watapigwa na jua mpaka wachakae.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Au tugawane hayo mawingu kila mtu asepe na chake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au tugawane hayo mawingu kila mtu asepe na chake
Umeona eeeeh?