[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si wayafuate kuyachua mawingu YAO?
Eeeeeh?Inawezekana
Inawezekana huyu afisa ni wa hapa mtandaoni...
Nyie hata wake zenu wakiwadai taraka mtasingizia mwanaume wa Tanzania.Hehehe!! Nimecheka, ila kwa mlivyo wachawi sitashangaa ikatokea kweli mumeizuia, japo wataalam wanasema low pressure na maneno ya kitaalam lakini nyie nawafahamu vizuri sana, uchawi ndio zenu.
Mshirikina weeHehehe!! Nimecheka, ila kwa mlivyo wachawi sitashangaa ikatokea kweli mumeizuia, japo wataalam wanasema low pressure na maneno ya kitaalam lakini nyie nawafahamu vizuri sana, uchawi ndio zenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya vuta nkuvute ya muda mrefu watanzania wameamua kukwamisha mawingu yanayoelekea kenya wachambuzi wa maswala ya kisiasa wanasema hili ni jambo la hatar kuwahi kutokea nA hivyo wanamwachia rais wa kenya afanye maamuzi kwan tanzanja haivumiliki iliuchukua mlima kilimanjaro na sasa imeamua kuzichukua mvua za kenya chanzo bbc
Mshirikina wee
Ona mawazo yko
Nyie kutwa kulalama na watz
Dada zenu mnathlalamikia
Sahv mnakuja na vioja
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya hamjawahi kuwa na akili timamu kila jambo Tanzania hadi mvua duuuHehehe!! Nimecheka, ila kwa mlivyo wachawi sitashangaa ikatokea kweli mumeizuia, japo wataalam wanasema low pressure na maneno ya kitaalam lakini nyie nawafahamu vizuri sana, uchawi ndio zenu.