Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Tanzania imetoa angalizo la mvua kubwa kwenye mikoa ya Mbeya, Iringa, Dar es Salaam, Pwani, visiwa vya Mafia, Ruvuma, Morogoro, Njombe, Lindi na Mtwara itakayonyesha Februari 23, 2022.
Aidha mamlaka hiyo imesema kutakuwa na upepo mkali kwa baadhi ya mikoa.
Aidha mamlaka hiyo imesema kutakuwa na upepo mkali kwa baadhi ya mikoa.