Kikubwa tu Watu wana ajira na kupata riziki kulea familia zao, ndugu, Jamaa na marafiki, lakini utabiri wao a matokeo halisi ni mbingu na ardhi.Hii mamlaka imekaa kwa kuvizia vizia Sana
Yaan wanaangalia mawingu wakiona Kuna Dall za mvua wanakuja na statement yao
Dar inanyesha baadh ya maeneo huku mbagala kilungule n mawingu TU toka jana
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Punguzeni dhambiSa' mbona Daslam hainyeshi sasa...?😏
Hujui lolote poleNi afadhali utabiri wa wapiga ramli unaweza kuwa na matokeo kuliko hao jamaa
Kwani tarehe 23 imeisha?!Sa' mbona Daslam hainyeshi sasa...?[emoji57]
😩Punguzeni dhambi