Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 481
1. Mamalaka ya rais kuteuwa viongozi wa juu yaishie ktk ibara zifuatazo tu:
Ibara ya 69(2)(e): kuteua wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama
Ibara ya 69(3)(c)-(e):kuteua mawaziri na manaibu waziri, katibu mkuu kiongozi na makatibu wakuu; mwanasheria mkuu na naibu mwanasheria mkuu;
Napendekeza rasimu ibadilishwe ili nafasi zingine zote ; kwa mfano, nafasi za makamishna (ibara ya 69(3)(f) zisiwe chini ya uteuzi wa Rais.
Badala yake hawa watu wapeleke maombi yao na kufanyiwa vetting/interview na the best candidate awe appointed kwenye nafasi husika.
2. Rais Kuteua makatibu wakuu bila kithibitishwa na Bunge:
Rasimu inapendekeza kuwa Raisi ateue makatibu wakuu [ibara ya 99(1)], bila ya kuthibitishwa na bunge!
Hii ni weakness kubwa sana kwa sababu Makatibu wakuu ndio viongozi wakuu na watendaji wakuu wa Wizara (wizara ndio serikali yenyewe!)
haiwezekani watendaji wakuu wa serikali wasithibitishwe na Bunge.
Mapendekezo:
Kwenye ibara ya 99(1), yaongezwe maneno yafuatayo. Makatibu wakuu walioteuliwa na Rais lazima wathibitishwe na Bunge, (au maneno mengine yenye maana sawa na hii)
Bila kufanya hivyo tutawekewa watu wengine akina Jairo na yule aliyekuwa katibu mkuu kiongozi.
Ibara ya 69(2)(e): kuteua wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama
Ibara ya 69(3)(c)-(e):kuteua mawaziri na manaibu waziri, katibu mkuu kiongozi na makatibu wakuu; mwanasheria mkuu na naibu mwanasheria mkuu;
Napendekeza rasimu ibadilishwe ili nafasi zingine zote ; kwa mfano, nafasi za makamishna (ibara ya 69(3)(f) zisiwe chini ya uteuzi wa Rais.
Badala yake hawa watu wapeleke maombi yao na kufanyiwa vetting/interview na the best candidate awe appointed kwenye nafasi husika.
2. Rais Kuteua makatibu wakuu bila kithibitishwa na Bunge:
Rasimu inapendekeza kuwa Raisi ateue makatibu wakuu [ibara ya 99(1)], bila ya kuthibitishwa na bunge!
Hii ni weakness kubwa sana kwa sababu Makatibu wakuu ndio viongozi wakuu na watendaji wakuu wa Wizara (wizara ndio serikali yenyewe!)
haiwezekani watendaji wakuu wa serikali wasithibitishwe na Bunge.
Mapendekezo:
Kwenye ibara ya 99(1), yaongezwe maneno yafuatayo. Makatibu wakuu walioteuliwa na Rais lazima wathibitishwe na Bunge, (au maneno mengine yenye maana sawa na hii)
Bila kufanya hivyo tutawekewa watu wengine akina Jairo na yule aliyekuwa katibu mkuu kiongozi.