kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
Wewe kapuku kweli,mitano tena π€π€π€π€π€Kulikuwa na malalamiko sana kwenye mamlaka hii maana kila kijana ukimkuta kijiweni lawama kwa NIDA ila hali mnavyoenda nayo kiukweli niwape maua yenuππππππ
Jamaa wangu alipeleka maombi tarehe 01 january hii ya juzi yaani mpaka tarehe kumi tu namba na kitambulisho tayari
Hongera nida hongera masauni
Nishakuwa kapuku mkuuWewe kapuku kweli,mitano tena π€π€π€π€π€
kwahiyo unashauri vipigwe laminationπ€£Wale ambao walichelewa kuchukua vitambulisho vya ukienda kuchukua unakuta kitambusho kimechakaa, kwa kwa nini wasiweke vitambulisho vya watu individual kuliko kuvichanganya kama noti, hawaoni kuwa vinasagana na kuchakaa pale wanapotafuta cha mtu?
hata lamination huchubukakwahiyo unashauri vipigwe lamination
π€£π€£π€£π€£Tunamshukuru Rais wa JMT, Mama Samia Suluhu Hasan kwa kutuwezesha kupata vitambulisho vya NIDA
kabisa kabisaTunamshukuru Rais wa JMT, Mama Samia Suluhu Hasan kwa kutuwezesha kupata vitambulisho vya NIDA