Maji taka!Shikamoo Mh Rais nafulai sana unavyo waonyesha upo a head of them..
Walianza mjengoni ukawapigia kimya wakaenda mbali nakukukashifu unapeleka familia pale Kwa CAG kesho kutwa wana aibika wenyewe mzoga walio ingiza kwenye vyombo vya habari unawaozea wenyewe. Mbaya zaid wataumwa pale watakuona una ongea na CAG tena mambo ya kazi wala sio umbea...
Sasa yule wa kukata vichwa naye anajiuliza taratibu alizo tumia kukata vichwa n yale yanatokea nadhani sasa watu watajifunza.
Wao wanatumia vyombo vya habari kuleta sintofaham wewe unapiga kimya kimya..
Mbaya zaid walio tenguliwa walikuwa wakifuwatilia kesi nyeti yale yale ya yule mama pale mamlaka ya mawasiliano..
Jamani embu tujifunze Mh Rais yupo a head of you..
Kama hamjamuelewa endeleeni kutishiana wenyewe kwa wenyewe na kumfanyia unafiki mnamsaidia lakini hapakuchi mtashangaa anawaonyesha mnacho panga.
Asante Magu nadubiria J3 nadhani wengi watazidi kusifu hekima na busara zako.
Shikamoo Mh Rais nafulai sana unavyo waonyesha upo a head of them..
Walianza mjengoni ukawapigia kimya wakaenda mbali nakukukashifu unapeleka familia pale Kwa CAG kesho kutwa wana aibika wenyewe mzoga walio ingiza kwenye vyombo vya habari unawaozea wenyewe. Mbaya zaid wataumwa pale watakuona una ongea na CAG tena mambo ya kazi wala sio umbea...
Sasa yule wa kukata vichwa naye anajiuliza taratibu alizo tumia kukata vichwa n yale yanatokea nadhani sasa watu watajifunza.
Wao wanatumia vyombo vya habari kuleta sintofaham wewe unapiga kimya kimya..
Mbaya zaid walio tenguliwa walikuwa wakifuwatilia kesi nyeti yale yale ya yule mama pale mamlaka ya mawasiliano..
Jamani embu tujifunze Mh Rais yupo a head of you..
Kama hamjamuelewa endeleeni kutishiana wenyewe kwa wenyewe na kumfanyia unafiki mnamsaidia lakini hapakuchi mtashangaa anawaonyesha mnacho panga.
Asante Magu nadubiria J3 nadhani wengi watazidi kusifu hekima na busara zako.
Unaongea peke yako?
Nadhani ni madawa ya kulevyaCCM wengi ni vichaavichaa?
Duu hili sijui ni zao la shule ya mkoloni au kata, maana uandishi huu unatishaShikamoo Mh Rais nafulai sana unavyo waonyesha upo a head of them..
Walianza mjengoni ukawapigia kimya wakaenda mbali nakukukashifu unapeleka familia pale Kwa CAG kesho kutwa wana aibika wenyewe mzoga walio ingiza kwenye vyombo vya habari unawaozea wenyewe. Mbaya zaid wataumwa pale watakuona una ongea na CAG tena mambo ya kazi wala sio umbea...
Sasa yule wa kukata vichwa naye anajiuliza taratibu alizo tumia kukata vichwa n yale yanatokea nadhani sasa watu watajifunza.
Wao wanatumia vyombo vya habari kuleta sintofaham wewe unapiga kimya kimya..
Mbaya zaid walio tenguliwa walikuwa wakifuwatilia kesi nyeti yale yale ya yule mama pale mamlaka ya mawasiliano..
Jamani embu tujifunze Mh Rais yupo a head of you..
Kama hamjamuelewa endeleeni kutishiana wenyewe kwa wenyewe na kumfanyia unafiki mnamsaidia lakini hapakuchi mtashangaa anawaonyesha mnacho panga.
Asante Magu nadubiria J3 nadhani wengi watazidi kusifu hekima na busara zako.
Mkuu Tumaini, ni kuonekana au ni kweli haitumii hekima?.taasisi yetu nyeti kuonekana haitumii hekima