Tetesi: Mamlaka za juu zimetengua utenguaji

Hawakutengenguliwa isipokuwa walitolewa kafara tu[emoji1321]‍♂️
 
Kiasi unaeleweka
 
Wana falsafa walioelewa na wana fasihi walioelewa mnieleze maana sijapata kitu.
 
bora ulivyoongeza nyama umetoa mwanga....

Kwamba Lugora alikurupuka, Kwamba Ndugai hakua na mawasiliano na Mkulu kwenye kumjibu CAG.
 
Reactions: BAK
Polisi wamemgomea waziri hadharani na wamemwambia hana mamlaka ya kuwatengua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ubabe ubabe ndio huruka yao, huyu anabeba standing order za serikali na mwingine anatembea na biblia yao ya mwongozo wa sera za CCM, uzuri ni kwamba wote wanacheza wimbo mmoja
 
Mwendawazimu mwingine aliyetoroka Mirembe. Akamatwe haraka sana na kurudishwa Mirembe kabla hajaleta madhara makubwa kwa jamii.

 
Msifuni na kumtweza ila kwangu muuaji hata akifanya jema atabaki kuwa muuaji wa watu wasio na hatia na nina uhakika atapata malipo yake hapahapa
 
Msifuni na kumtweza ila kwangu muuaji hata akifanya jema atabaki kuwa muuaji wa watu wasio na hatia na nina uhakika atapata malipo yake hapahapa
Alimuua mama yako?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Hivi shule zimefunguliwa kweli? Maana nasikia eti barabara zmefeli kuingia wakati ukame ulipoisha kwenye bwawa mwezi unangara sana kuliko jua. Alafu kesho ndo nlifka. Tusikilizaneeeee!!!
Hivi ndivyo nilivyouelewa huu uzi

"ᴬ ᵐᵃⁿ ʷʰᵒ ˢᵗᵃⁿᵈˢ ᶠᵒʳ ⁿᵒᵗʰⁱⁿᵍ ʷⁱˡˡ ᶠᵃˡˡ ᶠᵒʳ ᵃⁿʸᵗʰⁱⁿᵍ"
 
Wabongo mchanganyiko..waume kwa wake. Ni wapenda umbeya hao balaaaa.


Ukiona huelewi Ujue UHUSIKI HAPO..kaaa kimya maisha yaende.

Saa nyingine KUJIFANYA UNATAKA KUJUA KITU NI KUTOKUJUA KILA KITU .

95% ya koment mnamponda jamaa sababu ya uzi wa mafumbo...wanaohusika wameshajua .....

Tulizen Ball wakuu...achen kumshambulia mtoa mada kwa ukilaza wenu wenyewe,,, Kihelehele cha paka. Kilimuua.
 
Sasa si ungemwandikia barua huyo unayemsifia huku umeleta kwa wasiohusika yanini? acha kujipendekeza utazibuliwa mafla

#bamia_ndefunene
 
Polisi wamemgomea waziri hadharani na wamemwambia hana mamlaka ya kuwatengua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawaja mgomea ila mfumo umewazuia kukatwa kichwa kutokana na unyeti wa kazi wanafanya. Hivyo waziri pia akifanya masihara report ya kidon ikigunduwa ana kitu nyuma ya kile amekifanya analiwa kichwa yeye.
 
Kuna lile la Lugola na ma RPC, amri imetoka kupuuza amri hiyo, nani atatoa zaidi ya IGP maana yeye hawezi? Ni Mzee baba. Hivyo tusubiri kuona Lugola akiwa frasturated na zile mbwembwe kwisha
Kangi amekosea sana kuingilia majukumu ya IGP hapo kachemsha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…