Tetesi: Mamlaka za juu zimetengua utenguaji

Hizi pombe za mitaani mataputapu shida sana
 
Wewe huijuwi hii kanuni isemayo;Tengeneza tatizo gizani,halafu litatuwe kwenye mwanga ili uongeze idadi ya wafuasi.
 
Ndiyo maana kuna wengine wanakula VICHWA VYA WATU.....!!!Ni hatari sana!
Ule utafiti kwamba katika kila Watz 4 kuna Mtz 1 kichaa ni ukweli mtupu na wengi wa Vichaa hawa wako CCM..!!!
Tufanye vb kama lote.
 
Mning'inio wa kilevi hatamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada ni mmoja kati ya watanzania wanne.

Sent using Sukhoi Su-57
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…