Zegota
JF-Expert Member
- Jun 5, 2020
- 341
- 719
Wakuu habarini.
Hizi serikali zetu ngozi nyeusi zinapenda sana mambo ya kipuuzi ili kuzima ajenda zao Kwa wananchi
Kwa serikali yenye watu wenye akili kulikuwa na haja gani ya kuvujisha zile video za ngono?
Walienda kuchunguza kashfa za rushwa? Kwa nini baada ya kukutana na hizo video wangemfungulia kesi na ushahidi ukapelekwa mahakamani bila kusambaza?
Hata hapa bongo, Lile tukio la club kutishiana bastora, maafisa wa polisi baada ya kunasa video ya ngono waliivujisha. Huu ujinga uliopitiliza
Mbona P diddy pamoja na kashfa zote video zake zimebaki kuwa Siri.
Waafrica tuna ujinga mwingi sana.
Pamoja na yote, nikionacho Kwa skendo hii jamaa hachomoki lazma watamuua.
Hizi serikali zetu ngozi nyeusi zinapenda sana mambo ya kipuuzi ili kuzima ajenda zao Kwa wananchi
Kwa serikali yenye watu wenye akili kulikuwa na haja gani ya kuvujisha zile video za ngono?
Walienda kuchunguza kashfa za rushwa? Kwa nini baada ya kukutana na hizo video wangemfungulia kesi na ushahidi ukapelekwa mahakamani bila kusambaza?
Hata hapa bongo, Lile tukio la club kutishiana bastora, maafisa wa polisi baada ya kunasa video ya ngono waliivujisha. Huu ujinga uliopitiliza
Mbona P diddy pamoja na kashfa zote video zake zimebaki kuwa Siri.
Waafrica tuna ujinga mwingi sana.
Pamoja na yote, nikionacho Kwa skendo hii jamaa hachomoki lazma watamuua.