Eyes of Tanzania
Member
- Jan 22, 2017
- 10
- 29
Iko wazi hilo suala linaitwa Judicial Review...Tanzania limetokea Mara kadhaa!!Kwenye kesi ya Shekhe Abdullah V Regional Police commander and other..Jamaa alipelekwa kizuizini Zanzibar,Mahakama ilisema kuwa Rais alikiuka sheria kwa kumpeleka kizuizini Zanzibar.Kesi nyingine ni ya James Gwagilo V Attorney General,jamaa alifukuzwa kazi na Rais,mahakama ikasema kuwa katika kumuondoa kazini lazima hatua zote za kisheria zifuatwe
Iko wazi hilo suala linaitwa Judicial Review...Tanzania limetokea Mara kadhaa!!Kwenye kesi ya Shekhe Abdullah V Regional Police commander and other..Jamaa alipelekwa kizuizini Zanzibar,Mahakama ilisema kuwa Rais alikiuka sheria kwa kumpeleka kizuizini Zanzibar.Kesi nyingine ni ya James Gwagilo V Attorney General,jamaa alifukuzwa kazi na Rais,mahakama ikasema kuwa katika kumuondoa kazini lazima hatua zote za kisheria zifuatwe