Habarini ndugu zangu humu ndani, najaribu kuwakumbusha mamlaka husika hasa za Simu, TCRA pamoja na NIDA kuwa makini sana, vinginevyo tutarajie watu kupata matatizo ambayo sio ya kwao.
Bado najaribu kukusanya ushahid kisha kuubwaga hapa, kuna uwezekano mkubwa wa watu kuuziwa laini ambazo si za kwao na hawa wanaosajiri laini mitaani.
Sent using Jamii Forums mobile app