Mamlaka zimelipa kisogo suala la kupambana na mapenzi ya jinsia moja.

Mamlaka zimelipa kisogo suala la kupambana na mapenzi ya jinsia moja.

sos x

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
49
Reaction score
60
Wana jamvi "Tumsifu Yesu kristu, Asalaam aleykum , Bwana yesu Apewe Sifa"!
Naiomba serikali yangu JMT iamke, Nimeshangazwa saana na Ongezeko la mashoga mtaani tena wakitembea kwa madaha kabisa, yaan mpaka mtoto wa shule ya msingi ana nyoosha kidole shoga yule.

Yaan kila sehemu mambo haya ya laana na aibu yanataka kushamili kwa kasi, waajiriwa , wafanya biashara na wasio na ajilra inataka kuwa kufuru, utashangaa ma dreva wa kiume wako parking eneo na masaa ya kazi wanachezeana kama mke na mume!

Wadada wameloewa na wadada wenzao, mtu ana muita dada mwenzie mume wangu tena kwa sauti kubwa bila uoga aisee,

Najiuliza na kosa majibu kulikoni ile vita ya kupambana na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja imefifia? Ni mamlaka gan za serikali zlipewa hili jukumu? , watu kama akina catherine ck, wako wapi, nn hatma ya mambo ya miaka mi 5 ijayo nakuendelea?

Serikali iamke na kuongeza nguvu kama inavyofanya kwenye madawa ya kulevya, ishikrikishe wanachi wenye hof ya Mungu na watiifu katika vita hvi naamni itashinda.🙏
 
mbosso ana nyimbo yake kuwa alipewa kisamvu
Hao wapumbavu wanaimba matusi halafu wanajificha kwenye kisingizio cha tafsida ya lugha. Ukisema kisamvu cha kopo kila mtu anajua ni yas ila akibanwa utasikia anasema alimaanisha kisamvu mboga. Mamlaka lazima zianze kuwawajibisha. Mashairi yao yanasikilizwa na watoto
 
Hao wapumbavu wanaimba matusi halafu wanajificha kwenye kisingizio cha tafsida ya lugha. Ukisema kisamvu cha kopo kila mtu anajua ni yas ila akibanwa utasikia anasema alimaanisha kisamvu mboga. Mamlaka lazima zianze kuwawajibisha. Mashairi yao yanasikilizwa na watoto
Mamlaka ipi hujaona wanaotuhumiwa kuwa ni mashoga wakikaa high table! We umewahi kumwona demu wa OMMY!
 
Hii kitu inakela sana. Mimi nikimuona shoga kwanza napatwa na kichefu chefu na kujisikia kutapika
Ijumaa ilyo pita mida ya saa kumi jion, nlipita super makert moja, ipo barabarani karbu na shule moja ya msingi naona watoto wa shule wana sema shoga , shoga , kuangangalia naona jama anaishilizia kwa mbali amebeba michupa ya pombe , aisee nilighairi kuingia pale
 
Ni sahh kabisaaa
Hao wapumbavu wanaimba matusi halafu wanajificha kwenye kisingizio cha tafsida ya lugha. Ukisema kisamvu cha kopo kila mtu anajua ni yas ila akibanwa utasikia anasema alimaanisha kisamvu mboga. Mamlaka lazima zianze kuwawajibisha. Mashairi yao yanasikilizwa na watoto
kabisaa
 
In

Inasikitisha mkuu, hizi nyimbo ndo zina accelerate janga hili.
Viongozi sio siri wananufaika kwa namna moja ama nyingine! kuna mashoga kabisa yanajulikana mitaani na mengine hata majina yamebadilisha yanajiita ya kike.

Dodoma mtaa wa zunguni kuna shoga linajiita Ashura chupi mpasuo.Lina urafiki na wanawake hasa wasusi wenye saloon na watoto hasa wanaosoma secondary wale wa kiume{kisirisiri wenyeji walisema hao madogo huwa wanalifirimba linawapa hela au ofeer buree}

Pale usafini hapo kuna namna pale angalia tembea ya wasani wao na huyo anayempamba zuchu na yule anayemvalisha Boss wao njoo kwa D voice unashindwa kujua hawa ni wanaume ama vipi.

Basi ili kujua kabisa ushoga upo live bila chenga nenda Tiktok huko. kuna clp ndaro yupo live na lishoga linataja hadi linapoishi huko sinza Daslam na yapo mengi sana sina muda tu ningewawekea link hapahapa
 
Nikiona kule mtandao Fulani,mdada anajinadi kabisa kuwa yeye anavutiwa na mwanamke mwenzie na si mwanaume aisee nilishangaa Sanaa, tena Pisi Kali kabisa, nikajiuliza shida nini??, ni km roho Fulani hivi zinawaingia watu wenye mienendo hii, M/Mungu atusaidie
 
Viongozi sio siri wananufaika kwa namna moja ama nyingine! kuna mashoga kabisa yanajulikana mitaani na mengine hata majina yamebadilisha yanajiita ya kike.

Dodoma mtaa wa zunguni kuna shoga linajiita Ashura chupi mpasuo.Lina urafiki na wanawake hasa wasusi wenye saloon na watoto hasa wanaosoma secondary wale wa kiume{kisirisiri wenyeji walisema hao madogo huwa wanalifirimba linawapa hela au ofeer buree}

Pale usafini hapo kuna namna pale angalia tembea ya wasani wao na huyo anayempamba zuchu na yule anayemvalisha Boss wao njoo kwa D voice unashindwa kujua hawa ni wanaume ama vipi.

Basi ili kujua kabisa ushoga upo live bila chenga nenda Tiktok huko. kuna clp ndaro yupo live na lishoga linataja hadi linapoishi huko sinza Daslam na yapo mengi sana sina muda tu ningewawekea link hapahapa
Aiseee,
 
Hao wapumbavu wanaimba matusi halafu wanajificha kwenye kisingizio cha tafsida ya lugha. Ukisema kisamvu cha kopo kila mtu anajua ni yas ila akibanwa utasikia anasema alimaanisha kisamvu mboga. Mamlaka lazima zianze kuwawajibisha. Mashairi yao yanasikilizwa na watoto
Mkuu wanajua kila kitu shida kubwa ni kuwa hao wote ni ccm ila angekuwa ni Ney wa mitego kitambo tu kaitwa
 
Wana jamvi "Tumsifu Yesu kristu, Asalaam aleykum , Bwana yesu Apewe Sifa"!
Naiomba serikali yangu JMT iamke, Nimeshangazwa saana na Ongezeko la mashoga mtaani tena wakitembea kwa madaha kabisa, yaan mpaka mtoto wa shule ya msingi ana nyoosha kidole shoga yule.

Yaan kila sehemu mambo haya ya laana na aibu yanataka kushamili kwa kasi, waajiriwa , wafanya biashara na wasio na ajilra inataka kuwa kufuru, utashangaa ma dreva wa kiume wako parking eneo na masaa ya kazi wanachezeana kama mke na mume!

Wadada wameloewa na wadada wenzao, mtu ana muita dada mwenzie mume wangu tena kwa sauti kubwa bila uoga aisee,

Najiuliza na kosa majibu kulikoni ile vita ya kupambana na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja imefifia? Ni mamlaka gan za serikali zlipewa hili jukumu? , watu kama akina catherine ck, wako wapi, nn hatma ya mambo ya miaka mi 5 ijayo nakuendelea?

Serikali iamke na kuongeza nguvu kama inavyofanya kwenye madawa ya kulevya, ishikrikishe wanachi wenye hof ya Mungu na watiifu katika vita hvi naamni itashinda.🙏
Mamlaka ziko busy na uchaguzi
 
Nikiona kule mtandao Fulani,mdada anajinadi kabisa kuwa yeye anavutiwa na mwanamke mwenzie na si mwanaume aisee nilishangaa Sanaa, tena Pisi Kali kabisa, nikajiuliza shida nini??, ni km roho Fulani hivi zinawaingia watu wenye mienendo hii, M/Mungu atusaidie
Kabisa Mungu aingilie kati , hali sio nzuri kabisaa
 
Hili jambo lisipofanyiwa kazi kuna maandiliz makubwa ya ongezeko la mashoga haswa kwa watoto waliopo mashulen kwa sasa, mana hii hali inawajenga kisaikolojia kuona ni jambo la kawaida kwa maana wapo huru na jamii imewapokea kabisa. Ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom