Mamlaka ziwaondoe Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wote na kuteua wapya wenye weledi

Mamlaka ziwaondoe Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wote na kuteua wapya wenye weledi

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
Ni vizuri wananchi tuchukue nafasi ya kuwamulika viongozi wasiowajibika, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kutokana na tuhuma mbalimbali zinazowakabili za matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na miradi mingi kujengwa chini ya kiwango kwenye maeneo yao.

Hii inatokana na Mabaraza ya Madiwani hayana uwezo tena wa kuwasimamia Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kwani kilichotokea Longido ndio kilichopo kwenye karibu Halmashauri zote kwamba madiwani hawakushinda bali walisaidiwa na Ma DC na Ma DED hivyo wanashindwa kuwasimamia na kushindwa kukemea uzembe, rushwa na ubabaishaji kwa hofu ya kutosaidiwa tena kwenye uchaguzi ujao.

Halmashauri sasa hazina wasemaji madiwani wako kimya, wabunge wako kimya mambo yanaharibika kwa hofu kuwa hawatasaidiwa tena uchaguzi ujao.

Ushauri Mamlaka zinazohusika ziwaondoe Ma DC na Wakurugenzi wote na kuteua wapya wenye weledi wataoweza kushirikiana na madiwani kuleta maendeleo sio hawa wanaowatisha madiwani kwamba hawakushinda basi Serikali ndiyo iliwaweka madarakani.
 
Kiufupi DC yupo pale kukilinda chama ofisini kwake hata mafaili ni machache mana mambo mengi yanaishia kwa DED.
Sioni kazi yao zaidi ya kuwabebesha mzigo walipa kodi wa nchi hii
 
Ni vizuri wananchi tuchukue nafasi ya kuwamulika viongozi wasiowajibika, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kutokana na tuhuma mbalimbali zinazowakabili za matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na miradi mingi kujengwa chini ya kiwango kwenye maeneo yao.

Hii inatokana na Mabaraza ya Madiwani hayana uwezo tena wa kuwasimamia Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kwani kilichotokea Longido ndio kilichopo kwenye karibu Halmashauri zote kwamba madiwani hawakushinda bali walisaidiwa na Ma DC na Ma DED hivyo wanashindwa kuwasimamia na kushindwa kukemea uzembe, rushwa na ubabaishaji kwa hofu ya kutosaidiwa tena kwenye uchaguzi ujao.

Halmashauri sasa hazina wasemaji madiwani wako kimya, wabunge wako kimya mambo yanaharibika kwa hofu kuwa hawatasaidiwa tena uchaguzi ujao.

Ushauri Mamlaka zinazohusika ziwaondoe Ma DC na Wakurugenzi wote na kuteua wapya wenye weledi wataoweza kushirikiana na madiwani kuleta maendeleo sio hawa wanaowatisha madiwani kwamba hawakushinda basi Serikali ndiyo iliwaweka madarakani.
Wakitoka wale shavu akina Tlaaatlaah,Lucas,Choicevariable na wafananao.
 
Ni vizuri wananchi tuchukue nafasi ya kuwamulika viongozi wasiowajibika, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kutokana na tuhuma mbalimbali zinazowakabili za matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na miradi mingi kujengwa chini ya kiwango kwenye maeneo yao.

Hii inatokana na Mabaraza ya Madiwani hayana uwezo tena wa kuwasimamia Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kwani kilichotokea Longido ndio kilichopo kwenye karibu Halmashauri zote kwamba madiwani hawakushinda bali walisaidiwa na Ma DC na Ma DED hivyo wanashindwa kuwasimamia na kushindwa kukemea uzembe, rushwa na ubabaishaji kwa hofu ya kutosaidiwa tena kwenye uchaguzi ujao.

Halmashauri sasa hazina wasemaji madiwani wako kimya, wabunge wako kimya mambo yanaharibika kwa hofu kuwa hawatasaidiwa tena uchaguzi ujao.

Ushauri Mamlaka zinazohusika ziwaondoe Ma DC na Wakurugenzi wote na kuteua wapya wenye weledi wataoweza kushirikiana na madiwani kuleta maendeleo sio hawa wanaowatisha madiwani kwamba hawakushinda basi Serikali ndiyo iliwaweka madarakani.
Kama Rais mwenyewe yupo radhi kumwaga damu mradi tu ccm isitoke madarakani unategemea nini ?
 
Ni vizuri wananchi tuchukue nafasi ya kuwamulika viongozi wasiowajibika, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kutokana na tuhuma mbalimbali zinazowakabili za matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na miradi mingi kujengwa chini ya kiwango kwenye maeneo yao.

Hii inatokana na Mabaraza ya Madiwani hayana uwezo tena wa kuwasimamia Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kwani kilichotokea Longido ndio kilichopo kwenye karibu Halmashauri zote kwamba madiwani hawakushinda bali walisaidiwa na Ma DC na Ma DED hivyo wanashindwa kuwasimamia na kushindwa kukemea uzembe, rushwa na ubabaishaji kwa hofu ya kutosaidiwa tena kwenye uchaguzi ujao.

Halmashauri sasa hazina wasemaji madiwani wako kimya, wabunge wako kimya mambo yanaharibika kwa hofu kuwa hawatasaidiwa tena uchaguzi ujao.

Ushauri Mamlaka zinazohusika ziwaondoe Ma DC na Wakurugenzi wote na kuteua wapya wenye weledi wataoweza kushirikiana na madiwani kuleta maendeleo sio hawa wanaowatisha madiwani kwamba hawakushinda basi Serikali ndiyo iliwaweka madarakani.
Kwa hiyo mkuu wa wilaya kusema alitumwa na serikali kuwabeba madiwani wa ccm wewe unaona hawafai??
Maccm bana akiliz enu bado sana
 
Ni vizuri wananchi tuchukue nafasi ya kuwamulika viongozi wasiowajibika, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kutokana na tuhuma mbalimbali zinazowakabili za matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na miradi mingi kujengwa chini ya kiwango kwenye maeneo yao.

Hii inatokana na Mabaraza ya Madiwani hayana uwezo tena wa kuwasimamia Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kwani kilichotokea Longido ndio kilichopo kwenye karibu Halmashauri zote kwamba madiwani hawakushinda bali walisaidiwa na Ma DC na Ma DED hivyo wanashindwa kuwasimamia na kushindwa kukemea uzembe, rushwa na ubabaishaji kwa hofu ya kutosaidiwa tena kwenye uchaguzi ujao.

Halmashauri sasa hazina wasemaji madiwani wako kimya, wabunge wako kimya mambo yanaharibika kwa hofu kuwa hawatasaidiwa tena uchaguzi ujao.

Ushauri Mamlaka zinazohusika ziwaondoe Ma DC na Wakurugenzi wote na kuteua wapya wenye weledi wataoweza kushirikiana na madiwani kuleta maendeleo sio hawa wanaowatisha madiwani kwamba hawakushinda basi Serikali ndiyo iliwaweka madarakani.
Umelala fofofo wewe. Hujui hata unachondika kwa sababu huijui CCM.
 
Ni vizuri wananchi tuchukue nafasi ya kuwamulika viongozi wasiowajibika, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kutokana na tuhuma mbalimbali zinazowakabili za matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na miradi mingi kujengwa chini ya kiwango kwenye maeneo yao.

Hii inatokana na Mabaraza ya Madiwani hayana uwezo tena wa kuwasimamia Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kwani kilichotokea Longido ndio kilichopo kwenye karibu Halmashauri zote kwamba madiwani hawakushinda bali walisaidiwa na Ma DC na Ma DED hivyo wanashindwa kuwasimamia na kushindwa kukemea uzembe, rushwa na ubabaishaji kwa hofu ya kutosaidiwa tena kwenye uchaguzi ujao.

Halmashauri sasa hazina wasemaji madiwani wako kimya, wabunge wako kimya mambo yanaharibika kwa hofu kuwa hawatasaidiwa tena uchaguzi ujao.

Ushauri Mamlaka zinazohusika ziwaondoe Ma DC na Wakurugenzi wote na kuteua wapya wenye weledi wataoweza kushirikiana na madiwani kuleta maendeleo sio hawa wanaowatisha madiwani kwamba hawakushinda basi Serikali ndiyo iliwaweka madarakani.
Suluhisho ni Katiba mpya itakayoondoa nafasi hizo za uteuzi na kuwa za kuchaguliwa. Vilevile yule Mkuu wa Wilaya amefanywa hivyo alivyo na mfumo. Hata wakiteuliwa wengine huo mfumo umebadilika?
 
Back
Top Bottom