Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bila kuwepo ushirikishwaji wa wanaojua soka na tukiacha kuweka misukumo ya kisiasa yenye ajenda za nyuma ya pazia hatutafika popote .
Dharau , matusi na majivuno dhidi ya wengine ambao ndio wenye soka lao ndio kaburi la maendeleo ya soka la Tanzania.
Mungu hataniwi .