Man burns down his two houses, jumps into a well

Man burns down his two houses, jumps into a well

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Mwanaume mmoja nchini Kenya amechoma moto nyumba zake mbili na kisha amejitupa katika kisima chenye urefu wa Futi 30.

Sababu kuu ya kuchukua uamuzi huo ni kutoka na matatizo ya kijamii. Baba mzazi wa mwanaume huyo pamoja na majirani walifanya juhudi za kumuokoa

==============

WELL.jpg


A 27-year-old man from Malichi Village in Malava Constituency burned down his two houses before jumping into a well following a domestic row.

According to the man’s father, neighbours rescued his son Lunani Chekeni from drowning in the 30-foot well.

Mr Chekeni was admitted at a Malava hospital.

Chemuche area assistant Chief Musa Vateta has condemned Mr Chekeni’s act, urging residents to solve their domestic differences amicably without resorting to suicide or destruction of property.

Source: e daily
 
Back
Top Bottom