Man from bush; nimepotea kariakoo

muhamar Gadaf

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2017
Posts
1,101
Reaction score
1,050
wakuu salaam ; nimepotea kariakoo,
mapema leo asubuhi nilifika asubuhi kwa ajili ya shooping kidogo;

nikakusanya mazaga mazaga , sasa tayati kwa kurudi....... kimbembe kikawa ni wapi pakupandia gari kuelekea ubungo......

nimejikuta natokezea posta....
dar sirudi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo bado upo Posta, panda mwendo kasi unikute hapa shekilango.
 
we utakua umetokea Mwananyamala.
wazee wa nje ya Dar hatupotei kizembe hivyo.
ina maana hata smart phone hauna uwashe
 
Bila shaka wewe ni msukuma! Maana wasukuma ndo wana hiyo kasumba ya kutokuuliza mahali kama hawapajui.

Ogopa kuelekezana na msukuma hasa hapa dar! Sijui huwa wanaogopa vibaka wa kariakoo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…