Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Je uwa wanaoa au awaoi,maana jamaa alikuwa ajaoaBongo ikohivo pia matajiri vijana waliowengi wanakwaruza sana vocha kwamama zao wakuwazaa kabisa(utajiri noma
Sent using Jamii Forums mobile app
Beth wewe una manenoMwanaume mmoja (35) ameshambuliwa na panga baada ya kukutwa akifanya mapenzi na Mama yake mzazi mwenye umri wa miaka 55
Majirani wa familia hiyo wamesema Kijana huyo amekuwa akifanya kitendo hicho na Mama yake kwa muda mrefu na jambo hilo halikuwa siri
Siku ya tukio, Mdogo wa Marehemu alienda kumuangalia Mama yake na alisikia watu wakiongea ndani lakini alipojaribu kumuita hakuna aliyejibu, na akaamua kuvunja dirisha. Alikuwakuta Kaka yake na Mama yao kitandani huku wakiwa wamelewa
Baada ya kufumaniwa, Marehemu alijaribu kukimbia lakini mdogo wake alimshambulia na panga na kumjeruhi vibaya. Polisi walifika eneo hilo masaa matatu baadaye na kukuta ameshafariki
Dada wa Marehemu amesema Kaka yake hakuwa ameoa na alikuwa na tabia ya kukaa nyumbani kwa Mama yao nyakati za usiku. Baba yao yupo Nairobi kikazi na hajarudi nyumbani kwa miezi miwili sasa
Mama huyo anashikiliwa na Polisi na aliyemuua ndugu yake bado hajakamatwa
======
A 35-year-old man in Kegati village, Kisii County was hacked to death Sunday night by his younger brother over claims that he was having a sexual relationship with his own mother.
Neighbours claimed the victim had been having sex with his mother for a long time and it was something known to the public.
It is alleged that his younger brother had gone to check on his mother at around 9pm but he did not find her.
He came back at 11pm and heard people talking in the house but attempts to call his mother proved futile since nobody responded.
BROKE WINDOW
On realising that nobody was responding, he decided to break the window only to find his mother and elder brother in bed.
The two were allegedly drunk and could not identify the person who had broken the window.
When the victim tried to escape, his brother, who was armed with a Panga, attacked him, calling neighbours to witness what was going on.
“When we arrived we found the deceased seriously injured and his mother was in bed drunk. When police officers arrived about three hours later, he had already succumbed to the injuries,” said a neighbour.
NOT MARRIED
The victim’s sister said that he was not married and used to stay late into the night in their mother’s house.
Their father works in Nairobi and has not been home for the last two months.
While confirming the incident, the Kisii County Police Commander Jebel Ngere said that they had been informed by the public about the incident.
“It is alleged that the deceased was caught having sex with his biological mother aged 55. However, locals should not take the law into their own hands and instead they should report culprits to relevant authorities,” said the police boss.
He said the woman was arrested and is assisting police with investigations while the suspect who hacked his brother is still at large.
The victim's body was moved to Kisii Teaching and Referral Hospital mortuary awaiting post-mortem.
Source: Daily Nation
Kapo Kama hiyo ndio inazaa watoto dizaini ya mekoDuh mashine inasimama kabisa kwa mama yako mzazi 🙊🙊🙊 Mungu atunusuru kizazi cha laana hicho
Dunia inaenda speed kwelii yaan....Mwanaume mmoja (35) ameshambuliwa na panga baada ya kukutwa akifanya mapenzi na Mama yake mzazi mwenye umri wa miaka 55
Majirani wa familia hiyo wamesema Kijana huyo amekuwa akifanya kitendo hicho na Mama yake kwa muda mrefu na jambo hilo halikuwa siri
Siku ya tukio, Mdogo wa Marehemu alienda kumuangalia Mama yake na alisikia watu wakiongea ndani lakini alipojaribu kumuita hakuna aliyejibu, na akaamua kuvunja dirisha. Alikuwakuta Kaka yake na Mama yao kitandani huku wakiwa wamelewa
Baada ya kufumaniwa, Marehemu alijaribu kukimbia lakini mdogo wake alimshambulia na panga na kumjeruhi vibaya. Polisi walifika eneo hilo masaa matatu baadaye na kukuta ameshafariki
Dada wa Marehemu amesema Kaka yake hakuwa ameoa na alikuwa na tabia ya kukaa nyumbani kwa Mama yao nyakati za usiku. Baba yao yupo Nairobi kikazi na hajarudi nyumbani kwa miezi miwili sasa
Mama huyo anashikiliwa na Polisi na aliyemuua ndugu yake bado hajakamatwa
======
A 35-year-old man in Kegati village, Kisii County was hacked to death Sunday night by his younger brother over claims that he was having a sexual relationship with his own mother.
Neighbours claimed the victim had been having sex with his mother for a long time and it was something known to the public.
It is alleged that his younger brother had gone to check on his mother at around 9pm but he did not find her.
He came back at 11pm and heard people talking in the house but attempts to call his mother proved futile since nobody responded.
BROKE WINDOW
On realising that nobody was responding, he decided to break the window only to find his mother and elder brother in bed.
The two were allegedly drunk and could not identify the person who had broken the window.
When the victim tried to escape, his brother, who was armed with a Panga, attacked him, calling neighbours to witness what was going on.
“When we arrived we found the deceased seriously injured and his mother was in bed drunk. When police officers arrived about three hours later, he had already succumbed to the injuries,” said a neighbour.
NOT MARRIED
The victim’s sister said that he was not married and used to stay late into the night in their mother’s house.
Their father works in Nairobi and has not been home for the last two months.
While confirming the incident, the Kisii County Police Commander Jebel Ngere said that they had been informed by the public about the incident.
“It is alleged that the deceased was caught having sex with his biological mother aged 55. However, locals should not take the law into their own hands and instead they should report culprits to relevant authorities,” said the police boss.
He said the woman was arrested and is assisting police with investigations while the suspect who hacked his brother is still at large.
The victim's body was moved to Kisii Teaching and Referral Hospital mortuary awaiting post-mortem.
Source: Daily Nation
Dah...
Angewaacha tu wahangaike na laana zao.Amejutafutia shida bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tabia haina nchi, jirani yangu hapa analala na kijana wake chumba kimoja kitanda kimoja wapo wawili tu binti mkubwa wa yule mama hakai nao kaondoka Kwa aibu, Mimi nikiwaangalia nawaona kama hawako sawa hasa mama, ni kama Jamii imewatenga, wapo wapo tu kama ni laana basi imeingia hasa. Maana mama Hana kazi na kijana naye hana kazi ila nahisi mama ndiye aliyemfundisha mwanae na alianza akiwa mdogo
hahahahahahKapo Kama hiyo ndio inazaa watoto dizaini ya meko