Acha kunifanya mimi mjinga! Nina akili za kujitosheleza, huwa sisukumwi na kauli za kifedhuli hizo.katika soka kila kitu kinawezekana chief
Comedy kama hizi unazipatia wapi mkuu, nazitafuta sana..Timu inaelewana na kizuri zaidi timu inachukuliwa kama underdog hivyo mpinzani akija na mentality hii lazima ageuziwe matokeo kama alivyofanyiwa vijibibi vya Turin palepale kwao akala kipigo.
Man U fans tujiandae kusherekea kubeba ndo ya UEFA msimu huu 2018/19.
TChao uwe na ushabiki mwema
HahahMan U ni timu yangu naipenda ila huwa sina ushabiki wa upofu kama huo wako.
UEFA siyo CARRABAO.
Kumbe manabii walikuwa na kazi sana zama zao kutabiri vitu ambavyo vilionekana ni vigumu mbele za macho ya wa wanadamu lakini mwisho wa siku vikatokea kama walivyotabiri.
KALAGABAOMan U ni timu yangu naipenda ila huwa sina ushabiki wa upofu kama huo wako.
UEFA siyo CARRABAO.
Huyo hana tofauti na mashabiki wa Mbumbumbu FC wanaokwambia Yanga anabebwa na bahati na upepo,na wao ndio watakuwa Mabingwa wa TPL.Comedy kama hizi unazipatia wapi mkuu, nazitafuta sana..
KALAGABAO
Kwa KiswahiliSiyo CARRABAO kumbe ni Kalagabao?
Asante!Kwa Kiswahili