Washabiki wa Man naombeni kuwauliza kwa nini Man U walimuuza Huyu Lukaku ?? Niliangalia mechi ya inter Milan week iliyopita Lukaku alifunga goal na leo amefunga Penalty .Kwa upande wangu sijaona kama kiwango chake kimeshuka ,Angebaki tuu Manchester United angetusaidia sana ,