mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ronaldo alicheza dakika zote 90 wakaambulia kichapo cha 4 kwa bila! Akazila hata kuwapungia mikono wachezaji!!Kwani Ronaldo bado ameweka ngumu, au anacheza? Hii timu nayo sijui ina shida gani. Kama vipi iitwe tu Mandonga FC.
Never!Cha ajabu kwa liver wanaweza shinda ila wakaja kuachia kwa soton
Kuwapungia WACHEZAJI tena?Ronaldo alicheza dakika zote 90 wakaambulia kichapo cha 4 kwa bila! Akazila hata kuwapungia mikono wachezaji!!