Man united hongereni.

chapaa

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
2,349
Reaction score
205
Japo hako kakombe ka league mmechukua na penalty ya kupewa mtakiona cha moto moscow,THE BLUES lazima wawe mabingwa wa champions league.
 
Japo hako kakombe ka league mmechukua na penalty ya kupewa mtakiona cha moto moscow,THE BLUES lazima wawe mabingwa wa champions league.

''kakombe''- ingawa kadogo lakini katamuu!

''penalty ya kupewa''- safii sana ila labda umesahau vilevile tumenyimwa penalty pia...sasa subtract ile then add hii..jibu unalo Chapaa.

''Ze blueaz lazima muwe mabingwa''- yeep it might be..lakini kumbuka...its not over till it over!
One Love One United!
 
Roya Roy, Idimi, Icadon na the rest of The Man U fam, I'm posting
these pics here kwa roho safi.Tuko tugeza japo tunasupport timu mbili tofauti.Personally I would say kuna vijana kama wawili watatu wanapiga Man U ambao ninge-wish wa kwetu.Tuko pamoja!!!






 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…