Wewe mbona ni Ashura siku nyingi au tuongeze Ashura ma kaswende?Habari za mda huu wapendwa
Manyumbu wa man United napenda kuwwambia Kuwa kocha mlienae mmepigwa waholanzi waga wajinga mno
Watawajazia wachezaji uchafu wa kiholanzi VANGAL ALIWAJAZA.
TEN HAG ANAWAJAZA PIA.
soon tu man United itakuwa kama PSV au AJAX au nerthaland national team.
Mkipata mafanikio na kocha wa kiholanzi niiteni ASHURA
Soka hamuiwezi jaribuni kumsapoti Mandonga.Habari za mda huu wapendwa
Manyumbu wa man United napenda kuwwambia Kuwa kocha mlienae mmepigwa waholanzi waga wajinga mno
Watawajazia wachezaji uchafu wa kiholanzi VANGAL ALIWAJAZA.
TEN HAG ANAWAJAZA PIA.
soon tu man United itakuwa kama PSV au AJAX au nerthaland national team.
Mkipata mafanikio na kocha wa kiholanzi niiteni ASHURA
Van alisajiliwa zama za Ole.Malacia,vandebeek,na uyu msukule mpya
Dah! Ila umechagua jina zuri!! Mabinti wengi wenye hilo jina la Ashura huwa wanakuwa Pisi kali kweli kweli! 🥰Habari za mda huu wapendwa
Manyumbu wa man United napenda kuwwambia Kuwa kocha mlienae mmepigwa waholanzi waga wajinga mno
Watawajazia wachezaji uchafu wa kiholanzi VANGAL ALIWAJAZA.
TEN HAG ANAWAJAZA PIA.
soon tu man United itakuwa kama PSV au AJAX au nerthaland national team.
Mkipata mafanikio na kocha wa kiholanzi niiteni ASHURA
Atakuambia Ruud van Nisterlooy aliflopSasa Dada Ashura Umechukua content ya Gift Macha chizi mwenzako bila utafiti nawewe unaipost! Taja waholanz wanaochezea Man U kama wanafika ata wawili! Kivyovyote vile ata akisajili waholanz team nzima siso kwetu FURAHA wew endelea kuteseka
Sasa mbona idadi ni sawa na wabrazuka kina fred na wareno kina bruno wangefika ata 5 ndo tungekaa mezani kujadiliMalacia,vandebeek,na uyu msukule mpya