HaswaaaUkipita sehemu ukasikia mtu anasema "WAMEPIGWA, WAMECHAKAA" hii ndio maana yake
Ni kweliHawa jamaa wametia aibuu...
Liverpool ametuondolea noise pollution mjini.
Na wamelia sana7 kavu bila kilainishi [emoji1787][emoji23]
Tushamnyuka 8 huyo7 kavu bila kilainishi 🤣😂
7 mtungi. Aibu Sana. Nani atawaamini tena.Man U imefungwa 7 lakini mpaka Sasa kipo Cha kujivunia, Tuna kikombe kimoja na bado tupo kwenye mashindano mengine yenye nafasi ya kutupa vikombe.