man utd aiadhibu arsenal fc

man utd aiadhibu arsenal fc

mKaLI_mOkO

Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
25
Reaction score
4
kwa kipigo cha kihistoria kabisa kuwahi kutokea kati ya man utd na arsenal , 8-2 hatimaye msiba mkubwa sana umepelekwa kwa jamii ya washika bunduki wa jiji la London. kijana etu Welbeck alianzisha hiyo mvua ya mawe na kupisha njia Rooney, Ashley Young na Ji Sung....
kipa wetu bwana mdogo De Gea hakua nyuma kuonesha umahiri wake. inshort wadau vijana wa OT wamenipa raha sana leo..poleni sana ndugu zangu washika bunduki wa arsenali...
8-2 duh! kweli "whatever City can DO, United can DO BETTER"
 
Ugumu upo kwa Liverpool nionavyo mimi, ila nataka kipigo kijirudie kwa wazee wa Chelsea nao waugulie maumivu
 
Ugumu upo kwa Liverpool nionavyo mimi, ila nataka kipigo kijirudie kwa wazee wa Chelsea nao waugulie maumivu

hata sina wasi wasi na Livafools kabisa, kwa mechi nilizoangalia za hao jamaa they r not a big threat labda ndugu zetu man city....
tuko on fire saivi.....
 
Back
Top Bottom