Man Utd yatupwa nje FA Cup, mashabiki wamponda Ronaldo

Man Utd yatupwa nje FA Cup, mashabiki wamponda Ronaldo

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Baadhi ya mshabiki wa soka wamemponda na kumdhihaki Cristiano Ronaldo mara baada ya kukosa penati na kushuhudi timu yake ya Manchester United ikiondolewa katika Kombe la FA dhidi ya Middlesbrough.

Ronaldo, 36, alikuwa na nafasi ya kuanza kufunga katika dakika za mwanzo kwa penati baada ya Paul Pogba kuchezewa faulo lakini alishindwa kufunga kwa kukosa mkwaju huo.

Matokeo ya bao 1-1 katika dakika za kawaidia yakasababisha timu hizo kupigiana mikwaju ya penati ambapo United ikaondolewa kwa 8-7.

Mashabiki mitandaoni walimrushia maneno ya kebehi Ronaldo kuwa amezeeka na hana uwezo tena, baadhi wakimuita Penaldo kwa kuwa tu hata uwezo wa kufunga penati hana.

Matokeo hayo yanaongeza presha kubwa kwa United hasa kwa kuwa wamekuwa na mwenendo mbovu tangu kuanza kwa msimu huu wa 2021/22.

Unadhani shida ni nini pale Manchester United? Ronaldo au kikosi kibovu au kocha hana uwezo?
 
Baadhi ya mshabiki wa soka wamemponda na kumdhihaki Cristiano Ronaldo mara baada ya kukosa penati na kushuhudi timu yake ya Manchester United ikiondolewa katika Kombe la FA dhidi ya Middlesbrough.

Ronaldo, 36, alikuwa na nafasi ya kuanza kufunga katika dakika za mwanzo kwa penati baada ya Paul Pogba kuchezewa faulo lakini alishindwa kufunga kwa kukosa mkwaju huo.

Matokeo ya bao 1-1 katika dakika za kawaidia yakasababisha timu hizo kupigiana mikwaju ya penati ambapo United ikaondolewa kwa 8-7.

Mashabiki mitandaoni walimrushia maneno ya kebehi Ronaldo kuwa amezeeka na hana uwezo tena, baadhi wakimuita Penaldo kwa kuwa tu hata uwezo wa kufunga penati hana.

Matokeo hayo yanaongeza presha kubwa kwa United hasa kwa kuwa wamekuwa na mwenendo mbovu tangu kuanza kwa msimu huu wa 2021/22.

Unadhani shida ni nini pale Manchester United? Ronaldo au kikosi kibovu au kocha hana uwezo?
Laana ya kumsagia kunguni Greenwood haitamuacha salama
 
Manchester United wachezaji wazee in wengi na pia back line yao in mbovu, wachezaji kama Maguire, Lindeloff na Bailly sio mabeki wa kutegemea kuivusha timu.
 
Baadhi ya mshabiki wa soka wamemponda na kumdhihaki Cristiano Ronaldo mara baada ya kukosa penati na kushuhudi timu yake ya Manchester United ikiondolewa katika Kombe la FA dhidi ya Middlesbrough.

Ronaldo, 36, alikuwa na nafasi ya kuanza kufunga katika dakika za mwanzo kwa penati baada ya Paul Pogba kuchezewa faulo lakini alishindwa kufunga kwa kukosa mkwaju huo.

Matokeo ya bao 1-1 katika dakika za kawaidia yakasababisha timu hizo kupigiana mikwaju ya penati ambapo United ikaondolewa kwa 8-7.

Mashabiki mitandaoni walimrushia maneno ya kebehi Ronaldo kuwa amezeeka na hana uwezo tena, baadhi wakimuita Penaldo kwa kuwa tu hata uwezo wa kufunga penati hana.

Matokeo hayo yanaongeza presha kubwa kwa United hasa kwa kuwa wamekuwa na mwenendo mbovu tangu kuanza kwa msimu huu wa 2021/22.

Unadhani shida ni nini pale Manchester United? Ronaldo au kikosi kibovu au kocha hana uwezo?
Yani Ronaldo kurejea kwake Man United hana tofauti na Chama alivyorudi Simba
 
Manchester United wachezaji wazee in wengi na pia back line yao in mbovu, wachezaji kama Maguire, Lindeloff na Bailly sio mabeki wa kutegemea kuivusha timu.
Maguire ndio majanga
Hao wa2 wanarekebishika
 
Kwasasa Man u yote ni mbovu kuanzia wachezaji waliowengi hadi kocha.kuna wachezaji hawana hadhi yakucheza Man U na kocha pia Man U sio hadhi yake.sijajua kwanini waliamua kumchukua huyo jamaa badala yakutafuta kocha atakayeendana na hadhi ya club.Ila wenye timu wanajua zaidi sisi niwapiga kelele tu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Manchester United wachezaji wazee in wengi na pia back line yao in mbovu, wachezaji kama Maguire, Lindeloff na Bailly sio mabeki wa kutegemea kuivusha timu.
Kila wanaemtaka hataki timu sasa wafanyaje
 
IMG_1903.jpg
 
Back
Top Bottom