Nimesomeshwa na wazazi wangu lakini rafiki yangu kasomeshwa na mchumba wake na this year tumemaliza chuo wakaoana.Ushawahi someshwa nini?🙂🙂
kwa huyu wewe unahisi ni mvulana au mwanaume hebu fafanua mkuuKuna Utofauti mkubwa sana kati MVULANA na MWANAUME
mimi mwenyewe nilijua ni maisha umesoma gazeti leo mkuu imeandikwa hiyo tena kurasa za mbele za global publisherWatu wanapotosha hii habari yule kijana amejirusha huko Mbarizi Nchini Uganda....kwa sababu ya kukosa kazi na wala sio kwa sababu mapenzi........
huyo inaonekana walikuwa wakisoma pamoja au sehemu tofautiNimesomeshwa na wazazi wangu lakini rafiki yangu kasomeshwa na mchumba wake na this year tumemaliza chuo wakaoana.
Inategemea na mtu.
mimi mwenyewe nilijua ni maisha umesoma gazeti leo mkuu imeandikwa hiyo tena kurasa za mbele za global publisher
Labda kama ni habari mbili tofauti....lakini kama ni ile ya Mbalizi basi ni masuala ya ukosefu wa kazi....
mkuu umelifanya kweli? kama ni hadithi usiseme mwenzio kafariki juzi tu hata kuzikwa bado mapenzi yanahitaji umakini sana
HATA KAMA PEPO HILI LIMEZIDI
kwanza kwanini usomeshe mpenzi??? mpaka kunyima kula??
Usijunyonge mwaya sio vizuri kabisa......!mimi jamaa nilijua labda maisha kumbe mpenzi mimi sijinyongi
Sijui tusemeje, aiseeee....!!!!!sijui kwa hili tukio tutasema ni kazi ya Mungu haina makosa au tusemeje!
sijui kwa hili tukio tutasema ni kazi ya Mungu haina makosa au tusemeje!
siunajua wabongo wanapenda sna ngono? hahahaWatu wanapotosha hii habari yule kijana amejirusha huko Mbarizi Nchini Uganda....kwa sababu ya kukosa kazi na wala sio kwa sababu mapenzi........
siunajua wabongo wanapenda sna ngono? hahaha
Kafariki leo huyuJamaa alijinyima na kukubali kushinda na njaa mradi tu amsomeshe mpenzi wake baada ya kumaliza mpenzi wake huyo kampiga chini
jamaa kajirusha toka ghorofani na kufa hapo hapo Haya mapenzi VIJANA MSISOMESHE WAPENZI AU MCHUMBA MTALIA
BORA WANAUME TUONEKANE TUNA ROHO NGUMU