Manabii wetu Mungu awabariki, wanatabiri mambo ambayo hayatokei

Manabii wetu Mungu awabariki, wanatabiri mambo ambayo hayatokei

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Nabii mmoja yule alikuwa anasema Dar itasombwa na bahari. Ninekaa mikoani muda mrefu sana naogopa kuja Dar.
Kumbe yule Nabii hajaona kitu chochote anasema,"Bwana kanionesha hivi usiku wa jana."

Kila siku manabii wanasema,"Mama Samia, jitayarishe kurudi Kizimkazi. Bwana amesema hataki uendelee kuwa rais. " Lakini Rais Samia anazidi kuimarika katika uongozi wake.

Lakini sasa mimi nasema matatizo yataanza kutokea.

Bwana hajaniambia kitu. Mi nadhani tutaanza kuona matatizo yanatokea.
Kwa sababu ambazo sio clear nadhani tutaanza kuona mabadiliko katika tabia za watu.

Au labda sababu zipo?
What does it profit a man if he gains the whole world but looses his soul?
Unajenga flyover, unajenga all sorts of nice things but you are behaving like a vampire towards the people.
 
IMG-20240811-WA0041.jpg
 
KWA SASA NABII NI MMOJA TU YESU KRISTO TUNAOMBA KWA YEYE TU

SHIDA WATU HAWASOMI BIBLIA TANGU KUANGIKWA KWA YESU MSALABANI MUNGU AMEMFANYA YESU KRISTO KUWA MKUU WA WAKUU NA NABII WA MANABII

UFALME WAKE NI HAUNA MIPAKA YEYE HUWAPONYA WAMTAFUTAO KWA MIOYO YAO YOTE NA WAMPENDAO
 
KWA SASA NABII NI MMOJA TU YESU KRISTO TUNAOMBA KWA YEYE TU

SHIDA WATU HAWASOMI BIBLIA TANGU KUANGIKWA KWA YESU MSALABANI MUNGU AMEMFANYA YESU KRISTO KUWA MKUU WA WAKUU NA NABII WA MANABII

UFALME WAKE NI HAUNA MIPAKA YEYE HUWAPONYA WAMTAFUTAO KWA MIOYO YAO YOTE NA WAMPENDAO
Tatizo wengi wenu ili kumfikia huyo Yesu wenu lazima mpitie kwa akina bulldozer, nabii Dominik n.k. Hapo ndipo ujinga unapoanzia na kupoteza maana kamili ya huo Ukristo wenu. Kwa nini mtu binafsi asimuombe huyo Yesu amtatulie matatizo yake?unaenda kumpa binadamu mwenzako akili zako zote na pesa juu.
 
Nabii mmoja yule alikuwa anasema Dar itasombwa na bahari. Ninekaa mikoani muda mrefu sana naogopa kuja Dar.
Kumbe yule Nabii hajaona kitu chochote anasema,"Bwana kanionesha hivi usiku wa jana."

Kila siku manabii wanasema,"Mama Samia, jitayarishe kurudi Kizimkazi. Bwana amesema hataki uendelee kuwa rais. " Lakini Rais Samia anazidi kuimarika katika uongozi wake.

Lakini sasa mimi nasema matatizo yataanza kutokea.

Bwana hajaniambia kitu. Mi nadhani tutaanza kuona matatizo yanatokea.
Kwa sababu ambazo sio clear nadhani tutaanza kuona mabadiliko katika tabia za watu.

Au labda sababu zipo?
What does it profit a man if he gains the whole world but looses his soul?
Unajenga flyover, unajenga all sorts of nice things but you are behaving like a vampire towards the people.
Nawe ni Nabii!
 
KWA SASA NABII NI MMOJA TU YESU KRISTO TUNAOMBA KWA YEYE TU

SHIDA WATU HAWASOMI BIBLIA TANGU KUANGIKWA KWA YESU MSALABANI MUNGU AMEMFANYA YESU KRISTO KUWA MKUU WA WAKUU NA NABII WA MANABII

UFALME WAKE NI HAUNA MIPAKA YEYE HUWAPONYA WAMTAFUTAO KWA MIOYO YAO YOTE NA WAMPENDAO
Kwahiyo Mungu anaupendeleo?
 
Ujumbe upo paragraph ya mwisho.

Hatutaki kurudishiwa utumwani tena.

Ngorongoro ni Mali ya maasai kisheria, waheshimiwe.
 
Back
Top Bottom