samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Umeongea pointi, ukitaka kujua aina ya mashabiki alionao nenda kaingalie hiyo "aje" mkito halafu angalia na aliotoa nao wakati mmoja kisha linganisha huo "uking" anaosifiwa ndio utajua jamaa yeye mwenyewe kilaza na mashabiki wake ni vilaza.Umeandika kitu nilichotaka kukiandika muda ila nikakosa maneno ya kutumia.
Hata kwenye hili swala tunalopigia kelele Kiba afanye shows, sidhani kama hapendi kufanya, ukute fitna, bajeti, au vikwazo vikwazo vinasababisha yeye kushindwa, na pia matarajio yanakuwa makubwa sana kulinganisha na nguvu aliyoitumia halafu watu wanaoingia wanakuwa siyo kiviile maana wabongo nao tuko vizuri kuongea wakati sapoti kamili hatutoi.