Wafanya biashara kutoka nje ya Tanzania wanataka kujua kama wanaweza kupata mananasi kutoka Tanzania. Mwenye kujua ni wapi yanapatikana kwa kiwango kizuri (quality & quantity) anijuze na kama kuna wafanya biashara ambao tiyari wanafanya shughuli hiyo ya kupeleka manasi nje niwasiliane nao.
Wafanya biashara kutoka nje ya Tanzania wanataka kujua kama wanaweza kupata mananasi kutoka Tanzania. Mwenye kujua ni wapi yanapatikana kwa kiwango kizuri (quality & quantity) anijuze na kama kuna wafanya biashara ambao tiyari wanafanya shughuli hiyo ya kupeleka manasi nje niwasiliane nao.