Dah!! Kweli hii ni mitano tena.Mananasi ya kukanga unaweza kula na mishakaki ya machungwaView attachment 1639257
Anakaangia nini ? Mbona Sio mafuta haya
yatakuwa MAJIZI YA KURA haya.Mbona jf kipindi hiki kumejaa watu wenye pumba sana. Au mitano tena imewapanda kichwani
Vipi mkuu
usisahau na mikate ya ngogwe, maana unga wake ni mzuri sanaUnga wake ni mzuri zaidi kwa bajia, ukipata na juice ya njugu mawe hapo bi bambam
Karibu, hapa nagonga mishakaki ya konokono na supu ya jongoo wa blue
Pishi la wadudu wanaosukuma mbolea mapolini linapikwaje
Baby wanipikia nn
Hapa hapa kwa mkuu averosHeeeee![emoji15][emoji15][emoji15]
Tangu lini?