Mananasi ya kukanga unaweza kula na mishakaki ya machungwaView attachment 1639257
Mbona umeshtuka hivyo? Hujawahi mpikia???
Hapa hapa kwa mkuu averos
Mishikaki ya machungwa!!! Mananasi ya kukaanga!! wonders shall never endMananasi ya kukanga unaweza kula na mishakaki ya machungwaView attachment 1639257
Sure!!Duh ebwana sometimes we need to have a short break, relaxing a little. Au sio Mkuu?
UmemalizaNa Keki ya mchicha
Yaani Leo ndo leo,tutajua vitu vingiAs long as we are living, wonders is part of of our life
Kuna na mishkaki ya daagaa
Yana radha kama ngogweUmeona maepo yanakaangwa hapo juu
Mpya kabisaUmeona maepo yanakaangwa hapo juu
Hivi wewe ulishawahi kula hivi vitu au umetupa picha tuu?Pata maepo ya kukaangaView attachment 1639697