Pia Leo nimepata somo jipya kuhusu kutupia vipande viwili vya nanasi kwenye maji ya moto,kisha kunywa kula siku,cancer haikusogelei kamweFor everyone mkuu
jaribu kukaanga mananasi leo hutaacha kula
Na bado ukapata muda wa kuchangia.Nimepoteza muda kuifungua thread hii
Nashangaa kwanini nimechangiaNa bado ukapata muda wa kuchangia.
leo supu ya chunga na maandazi ya unga wa papaiMenyu ya leo vipi??
Asante.Na ukaendelea kujibu comment
Hongera