Manara: Ahmed Ali ni Msemaji comedian ila ana gundu aje nimsaidie kutoa

Manara: Ahmed Ali ni Msemaji comedian ila ana gundu aje nimsaidie kutoa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Aliyewahi kuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba na Yanga SC, Haji Manara amesema kuwa kuwa anafurahishwa sana na uwezo wa Afisa habari wa Simba, Ahmed Ally, kwa namna ambavyo anajua siasa za mpira lakini amempiga spana kuwa tatizo hana nyota.

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Manara ameandika "Nimpongeze sana huyu dogo ni Msemaji mzuri hasa katika eneo la kuchekesha na uchale,eneo muhimu kwenye Siasa za Mpira wa kitanzania. Ni Comediana hasa !!

Lakini hana nyota maskini, hajui ladha ya furaha ya kudumu,ana miaka kadhaa kwa Makolo hajui hata utamu wa Ubingwa, iwe wa Ligi au hata wa Kombe la Shirikisho, Na mara nyingi anaondoka namna hii kila derby.

Kwangu anayo nafasi ya kutoa hilo gundu la kisununu, ni kwenda kijijini kwao alipozaliwa kisha kwenda hata Mtoni akaoge kisha Wazee kijijini wampakaze mavumba ya kiasili. Nawahakikishia mwaka 2030 atashinda walau kikombe kimoja"
1729488574196.jpg
 
kwani Ahmed ndio anacheza ball uwanjani,

manara anatafuta kiki.
 
kwani Ahmed ndio anacheza ball uwanjani,

manara anatafuta kiki.
Kuitwa timu ....it means ni combination ya vitu vingi.....sio wachezaji tu .....Kuna management.....kamati za ufundi [emoji23][emoji23]

So kimoja kikioza hapo ....hamna kitakachofanya kazi
 
Aliyewahi kuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba na Yanga SC, Haji Manara amesema kuwa kuwa anafurahishwa sana na uwezo wa Afisa habari wa Simba, Ahmed Ally, kwa namna ambavyo anajua siasa za mpira lakini amempiga spana kuwa tatizo hana nyota.

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Manara ameandika "Nimpongeze sana huyu dogo ni Msemaji mzuri hasa katika eneo la kuchekesha na uchale,eneo muhimu kwenye Siasa za Mpira wa kitanzania. Ni Comediana hasa !!

Lakini hana nyota maskini, hajui ladha ya furaha ya kudumu,ana miaka kadhaa kwa Makolo hajui hata utamu wa Ubingwa, iwe wa Ligi au hata wa Kombe la Shirikisho, Na mara nyingi anaondoka namna hii kila derby.

Kwangu anayo nafasi ya kutoa hilo gundu la kisununu, ni kwenda kijijini kwao alipozaliwa kisha kwenda hata Mtoni akaoge kisha Wazee kijijini wampakaze mavumba ya kiasili. Nawahakikishia mwaka 2030 atashinda walau kikombe kimoja"View attachment 3131263
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC. View attachment 3131286
Ubaya uboya ubwege
 
Back
Top Bottom